Recent content by goshaiwedi

  1. G

    Said Mwema, IGP wa viwango aliyewahi kuwepo tangu uhuru

    Kwa taarifa yako mwema kwa wema wake tunaye mitaa ya moshi kwenye kahawa misibani hata msikitini hahitaji wapambe,huwezi amini ukikutana na mwema utadhani anakujua kwa jinsi anavyosalimia,anaishi maisha ya kawaida,hana makuu,,,,SAID MWEMA MUNGU AKUBARIKI,UMEKUWA MFANO WA WATUMISHI WALIOTUMIA...
  2. G

    PSSSPF Mwaka wa 3 huu mirathi hawatoi. Kama hawana hela waseme sio kutusumbua

    Umeandika kama umenisikia mahali,yaani hawa jamaa ovyo kabisa,kila ukifika unaambiwa faili liko steji ya mwisho njoo mwezi ujao,kabla mwezi haujafika unapigiwa cm unaulizwa hivi huyu mtoto mwenye jina hili mama yake anaitwa nani na mbona kiapo hakipo?ili mradi uteseke,LAKINI ADUI YETU NI MMOJA...
  3. G

    GE2020 Je, ni kweli Lissu kasuswa na Mzee Edwin Mtei?

    Inawezekana pia kikwete kamsusia mtu yule kampeni
  4. G

    Wakenya wadai Tanzania ni jirani jeuri ni lazima idhibitiwe

    Pembejeo nyingi hutoka kenya,wanaoadhirika ni wakulima wa tanzania,mbegu ya nyanya imara fi kutoka 73000 mpaka 88500 na bado madukani hakuna,mchele wa kahama sasa hivi kg sh 1400 badala ya 2000, mahindi gunia sh,50,000 badala ya 90000 kisa mpaka wa kenya,
  5. G

    Kassim Majaliwa: Wanasiasa waeleze yale watakayoyafanya kwenye kampeni na sio kubeza yaliyofanywa na wengine

    Mheshimiwa tunaelekea kubaya,nasema kubaya iwapo mwanasiasa mpinzani anachaguliwa jambo la kusema na mtawala,kusema azungumzie atakayofanya bila kubeza yaliyofanyika imekaakaaje hii?nitasemaje nitaboresha shirika bila kueleza kasoro kwa aliyetangulia kujenga shirika?nitajengaje SGR vizuri bila...
  6. G

    NMB acheni uzembe, mnachefua sana

    Basi wangechagua hata jina zuri,,,evodia!!
  7. G

    Je, inawezekana kubadilisha jina kwenye leseni ya Udereva?

    Kosa lilianzia hapo,lkn bado unaweza fanikiwa
  8. G

    Mbwembwe za ndege zimeishia wapi?

    Hata kama linaenda kwa hasara,,,,una akili kweli? Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
  9. G

    Mbwembwe za ndege zimeishia wapi?

    Usichanganye mambo boss,walioweka taratibu za manunuzi walijua iko siku atatokea mjinga mmoja afanye yake,hata lugola yalimfika kwa kutofuata kanuni
  10. G

    Mbwembwe za ndege zimeishia wapi?

    Uko mbali na uhalisia, tunahitaji ndege tena sana,lkn si kwa utaratibu huu wa mtu mmoja kuamua
  11. G

    CCM kukata Majina, alichokisema Mh. Rais, demokrasia na hatma ya Tanzania

    Alafu unasikia dude linatamba,,,,mitano tena
Back
Top Bottom