PSSSPF Mwaka wa 3 huu mirathi hawatoi. Kama hawana hela waseme sio kutusumbua

Blackninja

JF-Expert Member
Aug 26, 2018
376
306
Hii taasisi ni matatizo sana.

Mwaka wa 3 huu mirathi hawatoi kama hawana hela waseme sio kutusumbua tu leta hiki mara leta kile.

wewe officer unaesema file langu halina shida unashangaa kwa nini silipwi ...... mimi nakushangaa wewe iweje silipwi wakati kila document mliyotaka nimewapa.
Unasema

Niende kwa mkuu wa wilaya au mkoa ndio mtashughulikia kwa haraka ninyi apo ofisini mnafanya kazi gani? Si mnalipwa kwa kodi zetu ??

Mnakera sana na mbinguni hamuendi. Mungu awalaani
 
Hii taasisi ni matatizo sana ........
Mwaka wa 3 huu mirathi hawatoi kama hawana hela waseme sio kutusumbua tu leta hiki mara leta kile.........
wewe officer unaesema file langu halina shida unashangaa kwa nini silipwi ...... mimi nakushangaa wewe iweje silipwi wakati kila document mliyotaka nimewapa.......
Unasema
Niende kwa mkuu wa wilaya au mkoa ndio mtashughulikia kwa haraka ninyi apo ofisini mnafanya kazi gani?????? Si mnalipwa kwa kodi zetu ????
Mnakera sana na mbinguni hamuendi..... mungu awalaani
Pole sana mkuu mie pia napata usumbufu huu huu kila siku document zipo kwa fulani anazishughulikia mara hivi. Wakati wanakuja kuomba watu wajiunge na mifuko yao huwa wanasera nzuri za kurubuni watu ila sasaaa maliza mkataba au ustaafu ndio hakuna namba utaacha kuisoma.

Hii mifuko ni mifuko ya mateso kwa jamii kikubwa watu wasisahau "jambo letu" oktb.

Halafu kibaya zaidi uongozi wote umeshauona na watu wengine wanahangaikia hizo pesa ziwasaidie kwenye matibabu maana nimeona wengine ni wagonjwa hata kutembea ni shida.


Yaani kuna watu wanadhambi sana dunia hii wanaona pesa na majasho ya watu ni ya kulipwa jinsi wanavyojisikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu mie pia napata usumbufu huu huu kila siku document zipo kwa fulani anazishughulikia mara hivi. Wakati wanakuja kuomba watu wajiunge na mifuko yao huwa wanasera nzuri za kurubuni watu ila sasaaa maliza mkataba au ustaafu ndio hakuna namba utaacha kuisoma.

Hii mifuko ni mifuko ya mateso kwa jamii kikubwa watu wasisahau "jambo letu" oktb.

Halafu kibaya zaidi uongozi wote umeshauona na watu wengine wanahangaikia hizo pesa ziwasaidie kwenye matibabu maana nimeona wengine ni wagonjwa hata kutembea ni shida.


Yaani kuna watu wanadhambi sana dunia hii wanaona pesa na majasho ya watu ni ya kulipwa jinsi wanavyojisikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika kama umenisikia mahali,yaani hawa jamaa ovyo kabisa,kila ukifika unaambiwa faili liko steji ya mwisho njoo mwezi ujao,kabla mwezi haujafika unapigiwa cm unaulizwa hivi huyu mtoto mwenye jina hili mama yake anaitwa nani na mbona kiapo hakipo?ili mradi uteseke,LAKINI ADUI YETU NI MMOJA TU,CCM,tukutane 28.10.2020
 
Hii taasisi ni matatizo sana ........

Mwaka wa 3 huu mirathi hawatoi kama hawana hela waseme sio kutusumbua tu leta hiki mara leta kile.........

wewe officer unaesema file langu halina shida unashangaa kwa nini silipwi ...... mimi nakushangaa wewe iweje silipwi wakati kila document mliyotaka nimewapa.......
Unasema

Niende kwa mkuu wa wilaya au mkoa ndio mtashughulikia kwa haraka ninyi apo ofisini mnafanya kazi gani?????? Si mnalipwa kwa kodi zetu ??

Mnakera sana na mbinguni hamuendi..... mungu awalaani
Tatizo letu vijana wengi au wa Tanzania wengi tuna tunataka vitu virahisi Sana au tunakata tamaa kwa mda mfupi sana mkuu hakuna swala la pesa lenye process rahisi we komaa mpaka kieleweke mwana FA na AY walizungushwa Sana na Tigo Ila mwisho wa siku wamelipwa mamilion ya pesa karibuni tu hapa we komaa mpaka kieleweke mkuu never give up
 
Tatizo letu vijana wengi au wa Tanzania wengi tuna tunataka vitu virahisi Sana au tunakata tamaa kwa mda mfupi sana mkuu hakuna swala la pesa lenye process rahisi we komaa mpaka kieleweke mwana FA na AY walizungushwa Sana na Tigo Ila mwisho wa siku wamelipwa mamilion ya pesa karibuni tu hapa we komaa mpaka kieleweke mkuu never give up
Wewe huna adabu wazee wastaafu unawaita vijana?

Halafu zile pesa sio mkopo ni jasho la mtu amelifanyia kazi na mazingira yawe magumu rahisi wewe hauwezi kuyajua.

Hivi kuna mwanasiasa hata mmoja waliovunja bunge hapo juzi hajalipwa mafao yake yasiyopungua milioni 240 na hawa ni ndani ya kila miaka mitano wanalipana hawa nao wanakipi cha kukosa mpaka walazimishe watu waliokuwa wakilipwa laki mbili tatu nne tano nakuendelea wasubiri baada ya miezi sita?

Kama upo nyumbani unachezea tu game hapo haya huwezi kuyajua JUNIOR maana umepewa smart phone umeingia humu unaona wote ni watoto wenzio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii taasisi ni matatizo sana ........

Mwaka wa 3 huu mirathi hawatoi kama hawana hela waseme sio kutusumbua tu leta hiki mara leta kile.........

wewe officer unaesema file langu halina shida unashangaa kwa nini silipwi ...... mimi nakushangaa wewe iweje silipwi wakati kila document mliyotaka nimewapa.......
Unasema

Niende kwa mkuu wa wilaya au mkoa ndio mtashughulikia kwa haraka ninyi apo ofisini mnafanya kazi gani?????? Si mnalipwa kwa kodi zetu ??

Mnakera sana na mbinguni hamuendi..... mungu awalaani
Kuepuka a na porojo za hapa na pale, 28.10.2020 saa tati asubuhi
 
Tatizo letu vijana wengi au wa Tanzania wengi tuna tunataka vitu virahisi Sana au tunakata tamaa kwa mda mfupi sana mkuu hakuna swala la pesa lenye process rahisi we komaa mpaka kieleweke mwana FA na AY walizungushwa Sana na Tigo Ila mwisho wa siku wamelipwa mamilion ya pesa karibuni tu hapa we komaa mpaka kieleweke mkuu never give up
Utoto unakusumbua wenzio wanazungumzia mirathi unaleta ujuha wa AY na huyu MwanaFA. Umeshapata kadhia ya kufuatilia mirathi wewe.
 
Back
Top Bottom