NMB acheni uzembe, mnachefua sana

NMB acheni uzembe, mnachefua sana

Hivi imekuaje majina yote ni ya kike, japo nimepata meseji ya kuombwa radhi. Ni sio NMB tu hata wiki iliyopita CRDB walikuwa na issue kama hii.
sio yote ya kike me wameniita rajabu
 
Hii SMS nimetumiwa hata Mimi usiku, sijui kuna tatizo gani? NMB inatakiwa wafanyie kazi hili tatizo.
 
Hatari Mkuu kwa hiyo umelikubali hilo jina????
Hakuna namna jina hilo limemdondokea, ila hata mimi meseji kama hiyo nimepata japo jina lilikua jingine. Nadhani system yao imeingiliwa na vijana wa mjini, waangalie tu senti zezu zisiguswe
 
Ah..kumbe sio peke yangu mm pia waliniita 'Esther' jana usiku ila leo asubuhi wamentumia mesej ya kuomba radhi!
 
Me nimeitwa RHODA!
Wakati bado nashangaaa nikapokea sms inayoniomba radhi.
 
Mi nimeitwa ANIFA, japo waliniomba radhi masaa kadhaa mbele. Tuwavumilie tu
Hii simu ni itel ila wana JF kwa kujikweza tu sasa screen shots nyingi zinaonesha watu wengi wanatumia itel,Infnix na Tecno
 
Hivi imekuaje majina yote ni ya kike, japo nimepata meseji ya kuombwa radhi. Ni sio NMB tu hata wiki iliyopita CRDB walikuwa na issue kama hii.
kumbe na CRDB nao ndo yale yale 😁😁😁😁😁
 
hehehhheeeee NMB jana hiyo...walituma et 'scolastica'...kumbe wewe walikuita 'Sophia'..hehehehe
 
Back
Top Bottom