kupata TIN nlitumia ktambulisho cha nida ambacho kna jna la lawrence. ktambulisho cha nida nlipata bila kutumia chet chochote kile (vyeti vyangu vilikuwa mkoa mwngne)kwa hyo nkaamua kujibatiza jina nnalolipenda la lawrence.tuanzie kwenye njia ulizotumia kupata leseni.kiutaratibu zoezi linaanzia kwenye TIN,ambapo ni lazima cheti cha kuzaliwa au kitambulisho cha NIDA kihusike,na taarifa zote za kwenye cheti cha kuzaliwa/NIDA ndizo hizo hizo zinazotumika kwenye leseni,sasa wewe mwenzetu hilo jina la Lawrence lilipatikana wapi.kuna kitu katika process zako hakikuenda kiusahihi
kupata TIN nlitumia ktambulisho cha nida ambacho kna jna la lawrence. ktambulisho cha nida nlipata bila kutumia chet chochote kile (vyeti vyangu vilikuwa mkoa mwngne)kwa hyo nkaamua kujibatiza jina nnalolipenda la lawrence.Dogo unakumbuka kwamba TIN namba yako uliisajili kwa majina hayo? na ina alama za vidole? bila shaka majina hayohayo ndiyo yaliyopo kwenye Natinal ID yako? kama sio,,,,,,,,, kila la heri .................... ila kama ndiyo pambana ila itachukua nguvu nyingi
Kosa lilianzia hapo,lkn bado unaweza fanikiwakupata TIN nlitumia ktambulisho cha nida ambacho kna jna la lawrence. ktambulisho cha nida nlipata bila kutumia chet chochote kile (vyeti vyangu vilikuwa mkoa mwngne)kwa hyo nkaamua kujibatiza jina nnalolipenda la lawrence.
(vyeti vyangu vilikuwa mkoa mwngne)kwa hyo nkaamua kujibatiza jina nnalolipenda la lawrence.
don yuko bize na mtoto wa obama hana mda wa kujibu post. anakwambia yy hataki urais wa tz teenaTuanzie Nida,Ulijiandikishaje bila chet cha kuzaliwa?
bila shaka ulienda mwenyewe kwaajili ya fingerprint.
anyaway
Kwenye Chet cha kuzaliwa hapana shaka uliletewa nyumbani.
Alieandikisha jina lako Rita alitumia la Shule.
hebu mtafute ndugu
Don Nalimison
member saa mbovu.
Huenda atakusaidia maana saa mbovu wakati MWINGINE HUSEMA KWELI.
Kijana.mtata huyu...pengine IPO.sababu lakiniShida ilianzia hapa, yani kabisa ukaacha majina yako halisi ukaamua "kujibatiza" seriously?????
Let's meet at the top, cheers
Watu hawaelewi mkuu...!! Ila huyu komeshaaa lazima kuna kitu nyumaa ya hilii hii point ya kijinga sanaa..Shida ilianzia hapa, yani kabisa ukaacha majina yako halisi ukaamua "kujibatiza" seriously?????
Let's meet at the top, cheers
sawa nshakupisha mkuuVijana wa siku hizi mna matatizo sana. Hamshughulishi akili zenu. Eidha ni kutafuta majibu Google au kuuliza humu JF hata mambo ambayo yanahitaji common sense tu kuyaelewa. Ka mfano, utatuulizaje kama inawezekana leseni yako uliyoipata January 2020 kuedit kwny system na ikaonekana niliipata january 2017? Yaani serikali ikusaidie kufanya forgery?
Hebu tuoishe huko usitupoteze muda.