Wakati mwingine twendeni mbele tupambabue mambo na c kupeleshwa2 hivi! Dr.Slaa yuko sahihi uhuru kuhidimishwa cku yake hugarimu Mikwanja si mchezo,hafu Kuna kengine et mbiyo za mwenge Haya madudu hayana maana kabisa na halic na ukata pamoja matatizo nchini!
Ni kweli kabisa mtoa Mada hili ni kamilfu na yakini Jk ypo El kadhalika bilashaka Tuombeni Mungu waumbuke nchi iende kwa Mpibzani UKAWA tujue kuchambua masuke na ngano
Siasa za wenzetu ndo zona demokrasia ya kweli Watergate ni Scandal ambapo Rais Richard M. Nixon alijiuzulu kwa kusema maneno Haya " by taking this process I will have hastened the start of the process of healing that American need so desparately" kwa tafsiri yangu isiyo rasmi "kwa kuchukua hatua...
Napata Picha wadau naskia Kuna lina za tigo huuzwa elf 50.na wawezakuta mtu1 ana line zaidi ya 100 na Kila line huingiza elfu 14 kwa cku.najiuliza Hawa wanacheza mchezo gani km c wizi wa mitandaoni!!
Jamani waafrika hatubadiliki2 kwani Nyerere yeye alikuwa Mungu hana mapungufu! Pamoja na kuwa amefanya mengi Kuna,mazuri na mabaya jua Lissu anataaluma ya Sheria tena LLM kiwango cha Master so he has constitutional law concerning Katiba lazima tumsikilize coz ni taaluma yake!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.