Recent content by Gorky

  1. G

    JamiiForums Tanzania Hiki kiatu 95,000/= napigwa au?

    Nilimjibu aliyeanzisha uzi,na amenielewa.
  2. G

    JamiiForums Tanzania Hiki kiatu 95,000/= napigwa au?

    Huwezi pata kiatu brand name kama Fendi kwa bei hiyo na mazingira hayo.Hiyo sio ngozi,kama umechukua pole yako kamanda.
  3. G

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa mil90 ipo Mbezi ya Kimara jirani na Stand Kuu Mpya

    Mama Debora katika ubora wako. Hukopeshi lol
  4. G

    JamiiForums Tanzania Mercedes Benz E190

    Barikiwa kiongozi na hongera zako.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Auto stop/start technology

    Nilifikiri ni mimi mwenyewe ndo hiyo kitu huwa inanikera. Lengo lake ni zuri lakini gari nyingi hazina on/off switch hapo kwa dashboard. Yangu mpaka uingie kwenye menu then sub menu kisha ndo uipate.Tatizo ni kwamba kila nikizima gari,inarudi kuwa on,hapo ndo inapoharibu mood ya kuendesha...
  6. G

    JamiiForums Tanzania Manukato (Perfume) nzuri kwa mwanaume

    Ni vigumu sana kuchagua Cologne nzuri kwa ujumla kwa kuwa unapulizia kulingana na mazingira au hali ya hewa.Ndo maana watu kama Kiranga Nyani Ngabu wana collection kubwa sana ya hivyo vitu. Kwa mlio nyumbani suala la hali ya hewa huwa haliwaathiri sana. Kama ningeambiwa nichague let's say tatu...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Manukato (Perfume) nzuri kwa mwanaume

    Wakuu za leo? Naona kuna maswali mengi sana kuhusu ufanano wa haya manukato mawili. Sikuwa na hiyo Club de nuit intense ikabidi niagize ili nizilinganishe. Kwanza nilijaribu kwenda department stores,kama Sephora,Dillard's na Macys hawana club de nuit,kwa hiyo option pekee ilikuwa ni kuagiza...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya Cruise Control kwenye gari

    https://leg.mt.gov/bills/mca/title_0610/chapter_0080/part_0030/section_0030/0610-0080-0030-0030.html Mkuu naona unafikiri sisi maboya.Najua huu uzi ni was cruise control lakini kama kuna pa kuwekana sawa tunawekana sawa.Link ya msela sectionb(B) Inasema on any other public highway speed limit is...
  9. G

    JamiiForums Tanzania Mercedes Benz E190

    Kiongozi kama umesoma vizuri nilichoandika,190E haiwezi kuwa ya diesel,sasa kamaukufanya modification kama uliofanya basi ile namba 190E inakuwa haina maana tena. Pili Unapofanya modification kama uliyofanya kuna gharama iliyotumika,na mara nyingi lengo huwa ni kupunguza gharama za mafuta,swali...
  10. G

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kutupia aina ya Gari kali ya ndoto yako!

    Hapana mkuu,Ni kweli Ford alikuwa anamiliki Land Rover,kisha akamuuzia TATA. Na hiyo Ford explorer ni crossover unibody na wala sio body on frame kama discover. Ford alinunua Land Rover kutoka kwa BMW group.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Msaada: Hii dawa kazi yake nini?

    Hapana mkuu,fungus sio ugonjwa wa ngono.Usiogope sana.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Msaada: Hii dawa kazi yake nini?

    Mkuu inawezekana tatizo ni lugha. Mbona picha uliyopiga hapo juu ina maelezo yote ? Kwa kifupi ni dawa ya Fungus(nafikiri ni mba kwa kiswahili) Hiyo ni maalum kwa maambukizi ya fungus yanayotokea ukeni. Hivyo vidonge vinasokomezwa huko ukeni kutibu hilo tatizo. Nafikiri nimesaidia.
  13. G

    JamiiForums Tanzania Miji 10 inayoongoza kwa foleni ya magari duniani

    Tupo pamoja mkuu.
  14. G

    JamiiForums Tanzania Miji 10 inayoongoza kwa foleni ya magari duniani

    Mkuu kama ukiona miji kumi inayoongoza kwa foleni za magari na katika hiyo miji hujaona New York,San Francisco wala Atlanta basi jiulize mara mara mbili mbili kama hiyo listi ni ya uhakika.
  15. G

    JamiiForums Tanzania Napenda kufahamu juu ya hawa mbuzi

    Inawezkana kuwa wapo,ila cha muhimu kujiulza ni je washachakachuliwa au vipi ? Maana Tanzania sidhani kama tuna sajili pure breed ya wanyama. Kwa wenzetu kama ukigundua kuwa amakuuzia mnyama aliyechakachuliwa unalipwa fidia ya maana sana.
Back
Top Bottom