Hivi uanamziki hasa wa Diamond mnauangalia kwa kigezo kipi? Maana kuna wanamziki tangu nabalehe wako kwenye game (hawashuki na wanazidi kupanda), sasa huyu hata miaka mitano bado lkn kiki na nguvu kubwa sana inatumika sambamba na Ali Kiba. Kimaadili Diamond yuko too low lkn kwa watu tuliolelewa...
Nimekuelewa mkuu na nimekumbuka siku moja walikuja wageni nyumbani (mme na mke) waislamu sasa mimi nikiwa na mke wangu nikamsogelea mgeni shemeji kumpa mkono, alinipa akiwa ameficha kwenye kitambaa (ushugi) uliokuwa unaning'inia harakaharaka nilielewa ni mambo ya kiimani wala mme na yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.