jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hongereni kwa Ushindi....Naamini mnakubali kuwa Tanzania ina demokrasia na haki !
AIONE :BALOZI MDOGO WA USA
Hongereni kwa Ushindi....Naamini mnakubali kuwa Tanzania ina demokrasia na haki !
Mkuu, 'umemsoma' lkn hoja au matokeo yamekuchanganya? Usikubali kuchanganyikiwa, hizo habari bado hazijathibitishwa na 'Tume ya Uchaguzi'.Arusha sio jiji la Chadema, ni moja ya majiji ya Nchi ya Tanzania. Au huko Ufipa mnaitambua Chadema kama Nchi?
Hakuna demokrasia kabisa. Hata hizo kura 7 za CCM wameziiba! Haiwezekani wapate kura nyingi hivyo.Hongereni kwa Ushindi....Naamini mnakubali kuwa Tanzania ina demokrasia na haki !
AIONE :BALOZI MDOGO WA USA
Uzuri wa chaguzi za Mameya, hakuna Tume ya Uchaguzi wala polisi, wakikosa wamekosa, na wakipata wamepata, kazi inabaki kwenye vikao vyao vya Chama, wanaumana na kufukuzana.Hongereni kwa Ushindi....Naamini mnakubali kuwa Tanzania ina demokrasia na haki !
AIONE :BALOZI MDOGO WA USA
Kwa hiyo CCM ikishinda kiti cha umeya sehemu mtaacha vile visingizio vyenu eeh!Uzuri wa chaguzi za Mameya, hakuna Tume ya Uchaguzi wala polisi, wakikosa wamekosa, na wakipata wamepata, kazi inabaki kwenye vikao vyao vya Chama, wanaumana na kufukuzana.
Vv
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said walahiArusha sio jiji la Chadema, ni moja ya majiji ya Nchi ya Tanzania. Au huko Ufipa mnaitambua Chadema kama Nchi?
Kula tanoSiamini kama hii ni kweli, kama ni kweli basi ni suala la muda tu tutasikia CCM wametimua madiwani wao waliomkataa Msofe kuwa Naibu Meya.
Pili, kwa matokeo haya, ni wazi wana CCM kindakindaki hawana imani na hao wahamiaji waliohamia kutoka upinzani, hii ni ishara mbaya kuwa CCM kuna vyama viwili ndani, CCM chotara na CCM kindakindaki.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
La uso walahiHongereni kwa Ushindi....Naamini mnakubali kuwa Tanzania ina demokrasia na haki !
AIONE :BALOZI MDOGO WA USA
Humo hakuna Tume, wakishindwa huko wanamalizana kwenye vikao vyao, hakuna lawama kwa Tume wala polisi, huko ukipigwa bao, unajilaumu mwenyewe.Kwa hiyo CCM ikishinda kiti cha umeya sehemu mtaacha vile visingizio vyenu eeh!
Hili niArusha sio jiji la Chadema, ni moja ya majiji ya Nchi ya Tanzania. Au huko Ufipa mnaitambua Chadema kama Nchi?
Mimi nikiwa CCM nampongeza huyo naibu meya wa Chadema kwa kushinda huo uchaguzi.Uchaguzi umeisha ashirikiane Na serikali kuwaletea wananchi wa Arusha maendeleo.Hongera zakeUCHAGUZI NAFASI YA NAIBU MEYA
Jumla ya wajumbe 34
1.PAUL PETER MATTHYSEN - CHADEMA #27
2.PROSPER REMMY MSOFFE - CCM #7
Hamkufika bei kwa huyo diwani.Mimi nikiwa CCM nampongeza huyo naibu meya wa Chadema kwa kushinda huo uchaguzi.Uchaguzi umeisha ashirikiane Na serikali kuwaletea wananchi wa Arusha maendeleo.Hongera zake
Mkishinda taabu mikelele kibao ,mkishindwa taabu mikelele kibao .Ukishinda nenda kanisani au msikitini kumshukuru mola wako.Hivi hata Mwenyezi Mungu anawaonaje nyie makafiriPenye ukweli hujitenga......
Hata kwenye hizo chaguzi nyingine huwa tunaambiwa CCM wameshinda, lakini actually huwa "wanapewa' ushindi kwa "combination" ya NEC+Polisi+MaDED+Immigration=CCM