Izo kazi zina wenyew ww kapuku kama hawawezi kutuchukua wakikutaka wana anza kukufuatilia A-Z sas we subili kila siku maeneo ya posta watakuja kukuchukua sawa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndug mm nimeomb uxhauri... Hayo maxwal mengine yanakuja vip ni bora ungepita tu.....kam ww huwa unapatia kila kitu ni ww sio mm
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu nilikuwa naomb uxhauri kuwa nimesoma certificate ya IT pale DIT Nina GPA ya 3.4 xax nilikuwa diploma natak nikasomee computer science alafu kingine kuwa mm o'level nilisoma arts..lakin katik matokeo yang xikupat F ila nilikuwa D pamoja na C moja ya kiswahili xax nilikuwa nauliza...
Ameangia chuo cha ucc amesema hakina kozi ya computer science pale ipo IT na pia DIT pale wanataka D physics na math D kwa o'level ndio utasoma pale....mkuu je hakuna chuo kingine kweli...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakubwa mdogo Wang amesoma certificate ya IT sas diploma anatak aende kusoma computer science je,inawezeka na kam inawezekan ni chuo gan kizur kinachotoa iyo kozi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu naomb kuuliza kuwa Nina mdog wangu kamaliza certificate ya IT mwaka huu...je, anaweza badilisha kwenda kusoma diploma ya Computer science au computer engineering...
Tatizo wa2 wengine uelewa ni mdogo nyota zimeanza kutumiwa tokea enzi za mitume ukiangalia katika dini zote mbili nyota wametumia kwa upande wa wakristo nyota ilitumiwa wakati wa yesu anazaliwa na hiyo ndio ilikuwa ishara ya zamani ya kuzaliwa kwa mitume huwaga nyota hutokea na hata hivyo pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.