Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,896
Weka namba ya mthihan WA kidacho cha 6 nitizame matokeo yako cos ninawasiwasi na ufaulu wako
Sijasoma Tanzania Kwa hiyo sina namba hapo NECTA.
Lakini, kwa hiyo grading system ni ya kawaida sana.
Watu waliosoma nje ya nchi wanajua na kuelewa kabisa kuwa hizo cut off points na matokeo ni ya kawaida sana kwa mtu anayesoma na anajitambua anachohitaji shuleni.
Tatizo watoto hamsomi mnataka matokeo makubwa.
Ni kama nilisikia mpango mmoja hapo Tanzania, eti unaitwa BRN bila maandalizi.
Soma kwa bidii na Kwa mipango utafaulu vizuri.
Mbona, hapo Egypt - Africa hiyo ndiyo grading system yao na bado watoto Wanasoma na matokeo yao ni mzuri kabisa kwa kufaulu vizuri iweje ninyi mlielie!!.
Wanafunzi wengi hapo Tanzania ni Pathetic kabisa.