mtaalam! imetulia hiyo! usipogeuka basi katafute ushauri wa daktari au kodoa macho kwenye mabango ya barbarani ili ujue ni bingwa yupi anaongeza nguvu kwa haraka zaidi
lakini wao si ndio wanapenda kukodolewa mimacho? je unajua wanaspend dakika ngapi kwenye kioo kabla hawajatoka nje? wanaspend muda gani kwenye wardrob kuchagua: miniskirts,tightjeans with bikini, adjustable bra e.t.c
uko sahihi ilaaah!! tambua kuwa swala la mapenzi huwa halijaribiwi kama wengi wetu tunavyofanya; au halina mlinganisho kati ya couple na couple! Hiyo inakuwa deep in your hearts
Hivi mkuu wewe ni ndugu na yule mbunge aliyehalisha BANGI jana na akashauri kuwa OF ALL OF THINGS IN TZ tuexport bangi? Acheni mawazo yenu ya KIBANGIBANGI.
Mkuu mengi yamesemwa lakini kumbuka ule UPENDO wa awali! We huna uhakika kama hujaambukizwa! na yeye hakujua hata ni lini na nani aliyempa. nenda kwa washauri nasaha/wataalam upate jinsi ya kuishi na VVU! Ila kumwacha ucfikirie! nafahamu watu walikuwa na case kama yako na wana miaka 8 sasa ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.