Recent content by google2014

  1. google2014

    CHADEMA kilichofanyika Monduli ni unafiki mkuu

    Nina wasi wasi na wewe ni miongoni mwa waliopewa ukuu wa wilaya au unatarajia kupewa ukuu wa wilaya kama CCM ikiendelea kuongoza
  2. google2014

    Nchi inaendeshwa na 'KITENGO'?

    Hii nchi kaka sasa hivi inatisha inasemekana mpaka sasa hivi lowasa wanatrack mawasiliano yake na amegewa limit ya kutembea sasa kama ni kweli hii hali inatisha
  3. google2014

    GE2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake

    Unahisi ni nani mwenye uwezo wa kufufua kesi ya richmond hili hali muhusika mkuu anajulikana
  4. google2014

    GE2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake

    Umeongea point sana why unasema ahache mapambano yake? Ninachoona hapo yeye anahamini anaweza timiza ndoto zake za kuongoza taifa ili muache apambane tuone mwisho wake ni wapi.
  5. google2014

    Mtoto wa Magufuli alizikwa kwa Ndege Ya Rais wa Tanzania

    Wewe mpemba umekosa hoja nenda kanywe urojo kwanza mapema coz naona saumu imekubana
  6. google2014

    Baada kukatwa, atatangaza mali zake na kuhamia ACT?

    Kuna kitu kinaniumiza kichwa sana hivivkati ya lowasa na kikwete nani ni fisadi?
  7. google2014

    Vijana Tanzania Amka Tupambane na Umaskini

    Mtaje mmoja wapi ambaye ni msafi ndani ya ccm
  8. google2014

    Watia nia CCM kuungana na kuwa makundi matano

    Thibitisha unaloliongea ili utushawishi na bandiko lako Maana watanzania wanasifika kwa kuongeza vitu chumvi na unafki. Tanzania ni number 1.
  9. google2014

    Wamembaka mke wangu, nimeona niachane nae tu

    Usiseme hivyo coz haujui mungu anakupitisha katika majariby mangapi unaweza kushangaa akamuacha huyo akampata mwingine akawa balaa zaidi ya huyo Soma vizuri alichokiandika kuwa kila kitu yupo vizurj tatizo tu anamaamuzi yake mwenyewe bila kumshirikisha mumewe So hiyk ni challenge imempata...
  10. google2014

    Wamembaka mke wangu, nimeona niachane nae tu

    So kwa hiyo wewe unasupport waachane sio
  11. google2014

    Msuya: Kuna Watu Wanataka Kwenda Ikulu Ili Waite Marafiki Zao Wagawane Mali

    Kweli huyu mzee akiingia madarakani ninahamini wengi sana watakimbia nchi kwa madudu waliyoyafanya
  12. google2014

    Msuya: Kuna Watu Wanataka Kwenda Ikulu Ili Waite Marafiki Zao Wagawane Mali

    Hili gazeti linakuwa be controlled na nani ndani ya ccm?
  13. google2014

    Nilikuwa nasikia tu kwa wengine, leo yamenikuta

    Hahahahahahahaha haya
  14. google2014

    Hii ndio Familia ya Agustino Mahiga

    Duh watu mpo vizuri sana kwa data basi sawa tumekuelewa
  15. google2014

    Julius Nyerere akimulezea Abdulwahid Sykes pamoja na wazee wa Dar es Salaam harakati za TANU

    Hapo nimekuelewa kabisa ndio maana ile sentense kuwa watu wa kanda ya pwani ni kukaa tu vibarazani na kucheza bao ni sawa na kuongea porojo ndio nimepata hitimisho leo pia wanaongoza kwa kupiga kelele ila wavivu balaaa.
Back
Top Bottom