Vyama vya upinzani Tanzania kiukweli vimelala sana , vimeacha kutetea haki na maslahi ya watu wanyonge kama vile:
.Ajira kwa vijana
.Ongezeko la mishahara kwa watumishi wa umma.
.Mikopo ya wanafunzi vyuo vikuu
Wao wapo tu wanatu hadaa wananchi , kwa hali hii ya wapinzani wa Tanzania walivyo bora...
Jamani hivi inawezekanaje serikali inawaambia watu watume maombi ya kazi halafu hawatoi?
vijana tulituma application Dodoma mwezi wa 8 lakini hadi saizi mwezi wa 12 hamna kitu, tunaiomba serikali kupitia kwa wizara husika itoe ajir za walimu walio omba mwezi wa 8.
CCM huku mitaani hali mbaya vijana wengi wa kada ya elimu ambao hapo mwanzo ajira zao zilikuwa za moja kwa moja toka serikalin , sasa hawataki hata kuisikia CCM kwani serikali yake imewanyima ajira vijana hao. Tukumbuke kuwa vijana hao ni wengi pia wamekuwa tegemezi kwa familia zao hivyo...
Vijana tunawaombeni viongozi wote wa vyama vya upinzani mlioko bungeni na nje ya bunge tunaomba mtuombee ajira za walimu toka serikalini kwani miaka yote ajira zetu zilikuwa ni za moja kwa moja toka serikalini , nyie ndio watu pekee mnaoweza kutupazia sauti sisi wanyoge tulioko uraiani...
Habari za saizi.........
Napenda kuuliza lini tutegemee ajira za ualimu zile zilizotangazwa mwezi wa (8) za walimu wa Biashara(Economics), math , physics na agriculture.
AJIRA ZA WALIMU WA Biashara(economics),math, physics na Agriculture walizo utangazia uma lini watazitoa? walimu tarajali tunaomba wazitoe mapema ili tujue jamani.
Tuna iomba wizara ya elimu isikie kilio chetu jaman kwani wengine huku kitaa mambo hayaendi kabisa na tayari tulituma application kwa...
Jamani habari za muda huu?
Naiomba Wizara ya Elimu watuambie basi lini watatoa ajira za walimu walizotangaza nafasi zake mwezi wa 8. Vijana tunazisubiri sana tunaomba wizara husika itufikirie.
BORA WATOE MAJINA ELIGIBLE ILI WENGINE TUJUE NINI CHA KUFANYA.
Kwani hata kama nafasi zilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.