Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,928
- 2,101
Miaka ya karibuni hapa nchini kumekuwa na tatizo kubwa sana la ajira kwa vijana hasa wasomi.
Pamoja na tatizo hili wabunge wa pande zote wamekuwa wakiitupia tu lawama serikali bila kutoa suluhisho.
Leo napenda niwashauri wabunge kuwa ni kwanini
1. Wasipeleke bungeni muswada wa mabadiliko ya umri wa kustaafu ili wazee waachie nafasi kwa vijana? Kwa kuanzia umri wa kustaafu kwa mujibu wa sheria iwe miaka 55 walau.
2. Wabunge waishauri serikali ianzishe miradi mikubwa ya kilimo cha umwagiliaji kwa vijana kwa ubia na serikali. Kuna mamilioni ya heka zinazofaa kwa kikimo. Pia hii inaweza kufanyika kwa ufugaji.
3. Wabunge wafanye namna wizara ya Elimu iweze kuandaa mitaala itakayowaandaa vijana kwenye fani mbalimbali wanapohitimu. Shule isiwe sehemu tu ya kukariri. Wanaweza kufanya tafiti kwenye seminari za Katoliki waone vijana wanavyoandaliwa kujitegemea. Inaweza kuwa kufundishwa ufundi mbalimbali, muziki, kilimo n.k....
Pamoja na tatizo hili wabunge wa pande zote wamekuwa wakiitupia tu lawama serikali bila kutoa suluhisho.
Leo napenda niwashauri wabunge kuwa ni kwanini
1. Wasipeleke bungeni muswada wa mabadiliko ya umri wa kustaafu ili wazee waachie nafasi kwa vijana? Kwa kuanzia umri wa kustaafu kwa mujibu wa sheria iwe miaka 55 walau.
2. Wabunge waishauri serikali ianzishe miradi mikubwa ya kilimo cha umwagiliaji kwa vijana kwa ubia na serikali. Kuna mamilioni ya heka zinazofaa kwa kikimo. Pia hii inaweza kufanyika kwa ufugaji.
3. Wabunge wafanye namna wizara ya Elimu iweze kuandaa mitaala itakayowaandaa vijana kwenye fani mbalimbali wanapohitimu. Shule isiwe sehemu tu ya kukariri. Wanaweza kufanya tafiti kwenye seminari za Katoliki waone vijana wanavyoandaliwa kujitegemea. Inaweza kuwa kufundishwa ufundi mbalimbali, muziki, kilimo n.k....