Recent content by GONZZ EPACLEM

  1. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Anguko la soko la dhahabu

    Ndugu, wadau, nilitoa uzi hapo juu ili kupata ufafanuzi wa kichumi zaidi, lakini bahati mbaya naona watalaamu wapo kimya tu.. Anyway, kwa kutumia knowledge yangu ya ARU pale Darusalaam main campus katika moja ya kozi niliyo kuwa nachukua, economics pia nilisoma Mjadala ulikuwa wazi, By...
  2. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Anguko la soko la dhahabu

    Habari wana jukwaa, Ni mjadala huru kwa wafanya biashara wa dhahabu nchini, wakubwa kwa wadogo. Ni kama swali hivi, kumekuwepo na kuporomoka kwa soko la dhahabu kwa kipindi cha takribani ya miezi miwili mfululizo na matumaini ya kupanda kwa dhahabu kwa mda mfupi ujao hayaonekani kiukweli, je...
  3. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu Mizani ya kupima dhahabu

    Ila nashindwa kuelewa hii mizani ya Tanita,mbona bei zake tofauti tofauti sana? Nimeagiza huu mzani dar lakini bahati mbaya nimekutana na bei tofauti ili hali inapima uzito sawa Kuna hizi bei 1. 120k kwa dar 2. 260k kwa dar Kwa mwanza ni 230k, Naomba ufafanuzi plz wa hizi bei
  4. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu Mizani ya kupima dhahabu

    🙏Asnte
  5. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu Mizani ya kupima dhahabu

    Asante 🙏
  6. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu Mizani ya kupima dhahabu

    Habari wanajukwaa, Niende moja kwa moja, nipo katika maeneo ya wachimba dhahabu na nimevutiwa sana na biashara hii kiasi kwamba natamani nijitose katika ulimwengu wa biashara ya dhahabu kwa namna ya ununuzi wa dhahabu mbichi (yaani ile ambayo haijayeyushwa), kiasi fulani nimeielewa hii...
  7. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina simamia hapohapo, wengine wameamua kulamba asali

    🤣🤣🤣
  8. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Mzee Zahiri Ally Zoro Akiwa Na Watoto Wake

    Good memory kabisa
  9. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Gwajima: Siwezi kujitetea kwa mahubiri yanayotoka kwa Roho Mtakatifu

    Ivi Magu alikufa kwa COVID-19? na nyomi lile lilivyomuaga tena kwa kupishana na jeneza Lake 0 distance bila ata Baraka ama sanitizer? Na hatukusikia wala kuona waagaji wakidondoka kwa Corona kwenye kuaga? Usilazimishe ujinga wako hapa, tunaelewa sana mchezo uliofanyika, sisi sio wajinga hata...
  10. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CCM Tanzania mnapata wapi ujasiri wa kujiona mnafaa kuingoza nchi?

    Tuoneshe alipeleka wap maburungutu ya hizo note jomba a? Watu walipigq, hizo ndizo point zenu za kumsemea JPM, onesheni Basi tuone waliopiga?
  11. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CCM Tanzania mnapata wapi ujasiri wa kujiona mnafaa kuingoza nchi?

    Ona sasa na wewe ulivyomsahaulifu Juzi tu tulikuwa na MWAMBA JPM, ila ulimpinga sana juu ya agenda yake ya kudhibiti mafisadi[emoji1787][emoji1787] dah! Hii ndio bongo
  12. GONZZ EPACLEM

    JamiiForums Tanzania Live Bungeni Kamati ya Bunge maadili inasoma ripoti ya Gwajima Na Jerry Slaa

    JF haina tofauti na kamati ya bunge iliyotoa hukumu kwa hoja dhaifu kabisa dhidi ya watuhumiwa, Kuvurunda kwa bunge ni moja ya uwakilishi tosherevu wa akili za wa Tanzania tulio wengi, Tunahukumu kwa mihemko na Chuki binafsi kwa watuhumiwa kama ilivyo kwa kamati yenyewe na spika mwenyewe dhidi...
Back
Top Bottom