Recent content by gonjabombo

  1. G

    Naibu waziri Juma Awesu atoa ofa ya kuwalipia kiingilio mashabiki wote watakaowahi uwanjani kabla hajaingia Taifa Stars vs Uganda

    Mnataka tu kutoa kafara watoto wa watu kwa sababu ya hiyo fujo, na kufungwa mtafungwa
  2. G

    Ugomvi mwingine ni majanga!

    Usijidai mjuaji, unadhihaki tu, paja ni la nani? Si vyema ukudhihaki wakati aujui lolote....... unasoma mistari inayo support na kushibisha dhihaka yako bile kuelewa na kurukia mambo
  3. G

    Ugomvi mwingine ni majanga!

    Hamkai mkauliza mnakuja na tafsiri zenu za kihuni na kejeli mkifikiri kwamba Mungu anazihakiwa
  4. G

    Aisee raha iliyoje kulala nyumbani kwa mwanamke

    Halafu unakuja kumuacha bila kosa, sasa naelewa jinsi gani laana inaanza
  5. G

    Watanzania wenzangu tupunguze kuomba/kukopa kwa watu binafsi

    Sijakwambia uuache, nimekwambia ukweli
  6. G

    Watanzania wenzangu tupunguze kuomba/kukopa kwa watu binafsi

    Mh mh bado hujui shida, kuna mtu tupo hosp na mkewe budget ya kujifungua imepungua usiku kwa 50.000 watatumia hizo facilities? Wewe ni graduate ambaye ndo umepata ajira hata ujaoa na kama una gf atakuwa amepata tabu sana, najua kuwa na hela nyingi sana, najua kuwa na magari zaidi ya 4 na kuamja...
  7. G

    Watanzania wenzangu tupunguze kuomba/kukopa kwa watu binafsi

    Una kiburi tu, ila maisha yatakufundisha kwamba kuna kukosa, wewe kuwa mvumilivu tu....maisha yatakunyoosha...
  8. G

    Alama hizi za bra zinatokaje?

    Hazina shida dada yangu..dont stress
  9. G

    Mkopeshe au mpe mtaji Ndugu yako wa Kiume for your own risk!

    Si ndugu wote wako kama wakwako....pole....
  10. G

    Alama hizi za bra zinatokaje?

    Wanawake mna tabu kweli, thats being a woman, kama utaki kuwa mwanaume... hizo alama ni pambo,zinapendeza
  11. G

    Tumetoka kufunga ndoa saa mbili na nusu asubuhi. Tumetumia dakika 40

    Kitendo cha kuoa ni kirahisi, ila kuishi anaitajika Mungu....
  12. G

    Ukisikia mwanamke ana kauli hizi, stay away

    Umeoa mtu, unakaa naye ndani, mwashare kitanda, anataka akubudgetie papuchi, maisha gani haya!
  13. G

    Ukisikia mwanamke ana kauli hizi, stay away

    Nimetaabika sana katika hilo, wakati nilipokuwa na hela sana alikuwa safi, nikawa sina yeye anayo, akanidhalilisha sana, sasa nimekuwa nazo tena kawa malaika.... Hawa wanawake waoneni hivi hivi tu, sio watu wazuri, wauwaji wakubwa....
  14. G

    Ukisikia mwanamke ana kauli hizi, stay away

    Speaking from experience, haya ni maneno serious sana, talaka huanzia kwenye mindset, hayo maWazo ni ya mtu anayeta kujitegemea
Back
Top Bottom