Recent content by Gomegwa G

  1. Gomegwa G

    Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

    Wakuu, mimi nikitaka ku login naambiwa bad credentials. Tatizo ni nni hapo?
  2. Gomegwa G

    Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

    Mi nadhani TAMISEMI hawajamsahau huyu mwalimu wa book keeping na commerce. Labda wanataka naye aombe tu, atapangiwa kufundishA kiswahili
  3. Gomegwa G

    Kasulu: Chawa wengi waonekana darasani

    Hayo ni mazingaombwe kweli. Chawa wanaweza wakawepo lkn siyo wa kusambaa darasa zima
  4. Gomegwa G

    Tumeachana ila analaumu simtafuti kwenye simu

    Kweli mkuu. Nilishaachana na dem akaendelea kujipendekeza kwangu nami nikamsikiliza. Alikuja kunipiga pigo moja matata. Ntamchukia miaka yote
  5. Gomegwa G

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Nahitaji soko la vitunguu swaum ( garlic) kwa Mwanza au Dar
  6. Gomegwa G

    Jason Derulo

    Ha ha haaaaa[emoji16]. Hizo pisi kali zinapendaga pesa na ujingaujinga
  7. Gomegwa G

    Jason Derulo

    Pande la mtu halaf saut ya kidemdem[emoji16]
  8. Gomegwa G

    Wazazi wengi huwakataza watoto wao wasioe Wanyakyusa, Wachaga na Wahaya. Nini Sababu?

    Upo sahihi kabisa mkuu. Hao wanaikushangaa wanatoka kwenye hayo makabila uliyoyataja
  9. Gomegwa G

    Bei ya mafuta ya kupikia inawaondoa mamalishe barabarani, Serikali ichukue hatua za haraka

    Sisi tunajilia mawese tu hayo maswala mengine hatuna habari nayo.
  10. Gomegwa G

    List ya Wachezaji wenye Majivuno na Dharau

    Ha ha haaaaa![emoji16] Nasir hana adabu kabisa
Back
Top Bottom