Familia nyingi hapa nchini inawategemea akina mama katika maisha yao ya kila siku.
Mara nyingi mamalishe wamekuwa wakipika chapati, vitumbua, maandazi n.k kwa ajili ya kupata fedha ya kulisha familia zao.
Ni ukweli usiopingika kuwa athari ya kupanda kwa mafuta ya kupikia imewatoa barabarani ni familia nyingi zimekuwa hoi.
Serikali inaona hili na tunasubiri wachukue hatua za haraka isije ikawa kama suala la sukari ambayo ilipanda toka tshs.1,500 mpaka 3,000 na Serikali imenyamaza mpaka leo.
Mara nyingi mamalishe wamekuwa wakipika chapati, vitumbua, maandazi n.k kwa ajili ya kupata fedha ya kulisha familia zao.
Ni ukweli usiopingika kuwa athari ya kupanda kwa mafuta ya kupikia imewatoa barabarani ni familia nyingi zimekuwa hoi.
Serikali inaona hili na tunasubiri wachukue hatua za haraka isije ikawa kama suala la sukari ambayo ilipanda toka tshs.1,500 mpaka 3,000 na Serikali imenyamaza mpaka leo.