Recent content by Goli la mbaaali

  1. Goli la mbaaali

    Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

    Faizafoxy inamaana mpaka sasa hajapatikana mshindi wa kukutongoza?mbona pascal anajieleza sana na unaishia kumsimanga tu?Lengo lako si ulitaka apatikane mshindi? Kuwa Sirius bibie pascal kashafika bei na kajieleza vilivyo. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Goli la mbaaali

    Mjue Rais wa kwanza wa Malawi, Kamuzu Banda

    Aiseeee kumbe!! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Goli la mbaaali

    Historia ya kweli ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda

    Sijui kapatwa na nini uyu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Goli la mbaaali

    Tunatengeneza na kuuza vifungashio vya kaki kwa bei poa

    Hello wana wa JF Tunapenda kuwakaribisha wote wenye uhitaji wa vifungashio vya kaki kwa bei ya jumla popote pale ulipo Tanzania tunakutumia kwa uaminifu wa hali ya juu kabisa, tunapatikana Iringa Mjini, karibuni sana, na karibuni wote. Mawasiliano: 0677063247 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Goli la mbaaali

    Speed ya Sauli bus: Mabasi yanayokimbia sana hayana vidhibiti mwendo?

    Naunga hoja, anaitwa mlabhilaje (yaan muwe mna wahi) Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Goli la mbaaali

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nawauliza Tanesco huu mradi wa Rea unaanza lini tena? Maana walisha kusanya hela zetu wakasepa Nazo Mpaka Leo atujuagi kinachoendelea tangu mwezi wa saba mwakajana. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Goli la mbaaali

    Dada wa kazi anatumaliza jamani

    Kuna kitu unafanya na uyo binti wa kazi sio bure Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Goli la mbaaali

    Natafuta rafiki wa kike

    Tazama misifa yoooote iyo ninayo Mimi karibu sana rafiki mwema. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Goli la mbaaali

    Historia ya kweli ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda

    Story zote za kusisimua Zilizoletwa zamani hapa jf ziletwe upya mimi nilikua bado kuzaliwa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Goli la mbaaali

    Mnaosema Yesu ni Mungu msisahau kuwa Yesu alikuwa fundi seremala ili kujipatia riziki yake

    Na haijitokea yesu kuwa Mungu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Goli la mbaaali

    Mnaosema Yesu ni Mungu msisahau kuwa Yesu alikuwa fundi seremala ili kujipatia riziki yake

    Umeeleweka,miafrika sisi sijui tunakwama wapi Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Goli la mbaaali

    Ni sawa kupokea zawadi kutoka kwa ex?

    Pokea tuu mizawadi iyo ila tambua ni mwanzo wa kuliwa kimasihara Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Goli la mbaaali

    Serikali izibane hotel zote za kulala Tanzania zinaibia wateja

    Wanasheria wetu wasomi kazi hii hapa,wananchi tumeibiwa mno,utakuta kwenye kitabu cha wageni imeandikwa KUFIKA unajaza talehe uliyofka,KUONDOKA pia unajaza talehe utakayoondoka, sasa ngoja ifike saa 4 we bwana weee!! Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Goli la mbaaali

    Iran yaonya itatoa jibu kali na la kujutisha

    Israel ya neta-nyau ni habari nyingne,iran aguse anate.
Back
Top Bottom