Uyoga naona mwendo umeumaliza,kwa hekaya za Abunuwasi..Huu uzi ufungwe Detty Dezemba ndo imefika mwisho na hamna jipya zaidi ya porojo.
Mengine tumwachie Mungu tu ashughulike na watesi wetu.
Hatimaye tumepata mrejesho wa kesi,Wanawake wenzangu nawakumbusha tu mjue mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe. Tupunguze mihemko mkiolewa tulieni acheni marafiki wasio na maana.Jengeni nyumba zenu.Kama namuona huyu mtalaka wa kike alipopoa baada ya court rulling...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.