peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 16,029
- 26,231
Atakuwa Mbunge wa Kwanza Tanganyika ambaye haruhusiwi kuingia USA!
Ndio uwezo wake wa kufikiri umeishia hapo..tumpuuze tu!Lakini huyo bashite wako si ndiye mwenye tuhuma lukuki dhidi ya mauaji ya watu. Au una maanisha na hili pia watu walipotezee?
Haya yote ni madhara ya chama kuwa juu ya serikali kwa hiyo wala hakibanwi na sheria zozote za nchi , wenye akili timamu CCM wameisha wote, mabilioni kwa mabilioni yanatumika wakishindana na CHAUMMA, hii ni mbinu ya kutakatisha pesa za chamaShamra shamra za kampeni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea kushika kasi!
Leo magari yenye chata la mtia nia kupitia Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda yameonekana yakizunguka mitaa mbalimbali ya jiji la Arusha yakitoa hamasa na ishara ya uzinduzi mkubwa wa kampeni.
Soma pia: Paul Makonda ateuliwa kugombea ubunge jimbo la Arusha Mjini
View attachment 3468177
Paul Christian Makonda ni jina lililosubiriwa kwa hamu na wananchi wengi kutokana na msimamo wake thabiti na upekee wake wa kusimama na watu. Ni kiongozi aliyekuwa kivutio, sasa akiingia rasmi kwenye ulingo wa ubunge Arusha Mjini.
Uzinduzi rasmi wa kampeni unatarajiwa kufanyika tarehe 12 Septemba 2025 katika Viwanja vya Soweto, Arusha, huku mgeni rasmi akiwa Mgombea mwenza wa Urais, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi.
Hizi ndizo shamrashamra kuelekea siku ya kihistoria kwa Arusha!
Point kubwa hapa ni kwamba hakuna wa kukupambania, jipambanie mwenyewe. Ukipata nafasi itumie vyemaMkuu kwa wiki 3 mfululizo kupitia Polepole JK na Rostam wametuhumiwa mangapi!?, umeona wakikonda?, point yangu sio watu wapotezee, ila nikipata nafasi nawashauri watu wapambanie matumbo yao, kwa watanzania wa leo hakuna wa kuingia Front kufanya lolote, kuendekeza lugha za jinai haiozi ni kusubiri embe chini ya mnazi. Lazimisha, force connection, kuwa hata CHAWA upate maisha mazuri. Leo hii baba Levo na Mwijaku wana maisha mazuri, wakati ma lecturer wa UDSM bado wanaishi kutegemea kuuza maziwa kwa ng'ombe watano. Mambo yamebadilika, tubadilike pia. Hawa watanzania wa leo sio wa kuwategemea kwenye mabadiliko ya kweli nchini. Ukituliza kichwa utanielewa.
Aanze kwanza kukemee sheria kandamizi za utoaji maoni na kufungulia jakwa hili ndo ulete haya maigizo hapaShamra shamra za kampeni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea kushika kasi!
Leo magari yenye chata la mtia nia kupitia Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda yameonekana yakizunguka mitaa mbalimbali ya jiji la Arusha yakitoa hamasa na ishara ya uzinduzi mkubwa wa kampeni.
Soma pia: Paul Makonda ateuliwa kugombea ubunge jimbo la Arusha Mjini
View attachment 3468177
Paul Christian Makonda ni jina lililosubiriwa kwa hamu na wananchi wengi kutokana na msimamo wake thabiti na upekee wake wa kusimama na watu. Ni kiongozi aliyekuwa kivutio, sasa akiingia rasmi kwenye ulingo wa ubunge Arusha Mjini.
Uzinduzi rasmi wa kampeni unatarajiwa kufanyika tarehe 12 Septemba 2025 katika Viwanja vya Soweto, Arusha, huku mgeni rasmi akiwa Mgombea mwenza wa Urais, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi.
Hizi ndizo shamrashamra kuelekea siku ya kihistoria kwa Arusha!