huna lolote wewe mamluki. labda kama hayo matawi ya mwanza ilikuwa ni familia yako.yani mmejiokota vilaza wote mkaandika huo uchafu....pole sana kwa mwenye akili timamu anaelewa unachofanya ni kwasababu ya njaa tu.huo si uzalendo. njaa zitawaua jamani.....! tena ukome ku generalize wanachama...
Serikali ya ccm ikiongozwa na jk ni sawa na nondo mla watu kwa watanzania. Inakuwaje wananchi wa kawaida tunalipa kodi,wazee wanalipa kodi,mwalimu ktk mshahara wake analipa elfu 50( kwa anayeanza kazi) lakini raisi halipi kodi inamana yeye sio mtanzania??? Maswahiba wake ambao ni wafanya...
.................myself am not good at all.................... instead of iam myself.............. good trial my friends. am also interested in making some improvements
waswahili wanasema kunguru mwoga hukimbiza bawale, ICC ni kama msumeno,hakuna huyu namjua wala nini, viongozi wetu wanafanya madudu saaana kwa wananchi na ndo mana wanaogopa cha moto.mimi sioni logic ya kujitoa huko..................... hata hapa kwetu si mnaona kesi zinavyopindishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.