Mkuu Mpau kama ulikuwa hujui,chukua hii ,dogo Mkosamali alisafirisha hadi daresalama kwa gari ya Kafulila na kulipiwa kila kitu ili aende makao makuu kumwona mwenyekiti mbowe na amwulize jimbo la muhambwe limetengewa shilingi ngapi?hii inafuatia na ushawishi wa Zitto,Mma Buyogela a.k.a mama Balu na kafulila walikaa nae kwa zaidi ya masaa 3 katika Upendo Guest house kumshawishi huku Kafulila akimsisitizia Mkosamali kwamba makao makuu hawajalipa kupaumbele jimbo la Muhambwe na majimbo mengine mkoani humo iktajwa kuwa mwaka wa 2000 na 2005 CDM makao makuu walitoa fedha za kutosha bt zikaliwa na wajanja wachache na CDM ikapoteza jimbo,na kuonana na mwenyekiti Mbowe ilishindikana ndipo bwana Kafulila akamkutanisha na Johni Mnyika wakati huo akiwa ofisa habari wa chama makao mkuu na Mnyika akamwakikishia kwamba ni kweli kwa Jimbo la muhambwe chama hakijalipa kipaumbele jimbo hilo bt hawezi kukosa milioni 1 na nusu,huyohuyo Kafulila akampeleka dogo kwa mwenyekiti wa NCCR Mageuzi bwana Mbatia na mbatia akamwakikishia kumpatia milioni 5 kwa ajili ya kampeni kama atahamia NCCR ,na dogo Mkosamali akasaini deal na kuhamia huko yeye na mshauri wake mkuu ambaye kwa wakati huo alikuwa mjumbe wa halmashauri kuu ya CDM kutokea mkoa wa Kigoma ndugu Balela na wakaenda redio Kwizela kutangaza kujitoa CDM na kuhamia NCCR,kumbukumbu zangu zinaniambia dogo alishiliki kwenye kampeni za marudio ya ubunge Busanda akitokea chuo cha SAUT,Tatzo kubwa la dogo Mkosamali ni njaa ya pesa na madarka bt bora alivyohama mapema coz alikuwa anatumiwa na Zitto na kwa sasa ni janga jimboni mwake hakubaliki tena na amebakia kugombana na mkuu wa wilaya hiyo na mwenyekiti aliefukuzwa huku akishinda kwa waganga Burundi,data ninazo
:angry: