Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza imewanzisha utaratibu kwa bodaboda wote kuwa na leseni za biashara bila kuwa na kikao nao wala kujadili jambo hili, hali hiyo imesababisha usumbufu mkuwa sana kwa vijana wanaotoa huduma hii, hivi sasa wanakamatwa na kulazimishwa kulipia leseni ya biashara...
nimekuwa nikisema unatumika vibaya na leo umedhihirisha hilo.hivi ww unawakilisha kundi gani kama sio mteule wa rais?vyuo vikuu hawakutambui ulimaliza kitambo sijui utatudanganyaje
Ndugu wanajamvi hasa wanasheria naomba msaada wa kisheria hivi naweza kuwashtaki kwa kitendo chao cha kukatiza matangazo wakati hoja muhimu na zenye mashiko zikitolewa,Jana Duni Haji walikata na leo Tundu Lissu
Ndugu wana JF habari,
Jana katika pitapita zangu ndani ya jiji la Mwanza nilikutana na matangazo mengi kuwa leo ndio uzinduzi wa chama cha ACT ktk viwanja vya shule ya msingi kama sikosei ni Mirongo au Nyakabungo,matangazo hayo yalisema kuwa mgeni rasmi ni katibu mkuu wa ACT ndg Samson...
Kwanza unajiaibisha mwenyewe kusema hivyo wakati ni mjumbe wa CCM ktk serikali sikivu,mambo mengi mnajitakia wenyewe ndio maana tutaendelea kuwachukia na chama chenu mpaka kesho,mie nimekuja hapa naambiwa VC amemaliza muda wake lakini mpaka leo yupo,nimeanza masters ujinga ule ule hamna mabweni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.