Mbogo, simba, na sasa ACT

Mbogo, simba, na sasa ACT

A.C.T "Ant-Chadema Tanzania" Chama Kilichoundwa Na Magamba Kwa Ajili Ya Kazi Maalumu
 
Haya bana. Mlianza wenyewe kusema kuwa chadema ni ya wakatoliki. Naona Waanglicana nao wamejitutumua. ACT = Anglican Church of Tanzania. Hawa wakiamua kufuata sera za malkia tumekwisha. Uliberali ndo wenyewe hao.
 
Haya bana. Mlianza wenyewe kusema kuwa chadema ni ya wakatoliki. Naona Waanglicana nao wamejitutumua. ACT = Anglican Church of Tanzania. Hawa wakiamua kufuata sera za malkia tumekwisha. Uliberali ndo wenyewe hao.


Aiseeee
 
Haya bana. Mlianza wenyewe kusema kuwa chadema ni ya wakatoliki. Naona Waanglicana nao wamejitutumua. ACT = Anglican Church of Tanzania. Hawa wakiamua kufuata sera za malkia tumekwisha. Uliberali ndo wenyewe hao.

ha haha act inachanja mbuga
 
Unapoteza muda Ndugu yangu Chama cha siasa hakitangazwi mitandaoni
 
Yaelekea hiki ni chama cha mtandaoni kama kilivyo DP kua ni chama cha Habari maelezo na mahakamani! Ila nimeipenda style yako ya ku-attack, kila siku we na CDM na Dr. Slaa tu, vyama vingine na viongozi wao huwaoni kabisa!
 
hahahahhaaaa umewamaliza kabisaaaaaaaaaaa tena naskia kiongozi wao mmoja ni kiongozi wa chama kingine!!!!
MANI njoo nitajie jina layule mshkaji mwenye kuongoza vyama viwili

Ok Ok Lucas Kadawi Limbu ni mwenyekiti wa ADC na sasa ni mwenyekiti wa ACT!!!!! kwa wakati mmoja. Kazi ipo kweli kweli

hivi mkuu ofisi ya ADC si ndo hiyo hiyo ofisi ya ACT
 
Last edited by a moderator:
Walipoona mbogo ni mkali sana na mtata sana wakaamua kujiita Mbogo, walipoona simba amekuwa mfalme wa nyikani na mbabe kwa akina mbogo, wakaamua kujiita Simba, haya sasa ACT imekuja kama tufani iliyopandwa na upepo wa kihafidhina, je, hawa watu watajiita ACT?


Pamoja na hayo, hivi kwa umakini, umahiri na uhodari wa Dr. Wilbroad Slaa laiti angepata fursa aliyokuwa kaiomba CCM angekuwa waziri mzigo sasa? HAPANA, asingekuwa mzigo, iweje sasa hawa wengine watabiriwe kuwa hivyo ikiwa ndio kwanza safari imeanza? Muda ndio kila kitu, na mwenye kushua chombo lazima aseme na pepo kwanza.

TAIFA KWANZA, CHAMA BAADAE.

Njano5.
0784845394.

Taifa linaongea Kiswahili, ACT inaongea Kiingereza. Taifa gani ACT inaongelea kwamba Taifa Kwanza!?..ASP na TANU vilivunjwa maksudi ili kutengeneza jina la Kiswahili litakaloeleweka Miongoni mwa Watanzania na Wanachama ndio maana ikazaliwa CCM. ASP na TANU ni majina ya Kiingereza...

Hapa Tanzania Watanzania wanaelewa CHADEMA na CCM tu, pengine na JAHAZI ASILIA...Jina limeshawaondoa katika Falsafa mnayotaka kulazimisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom