Okay,Mkuu Biblia ni pana na kuna mitazamo miwili ya kusoma, 1. Mtazamo wa kawaida ambao ndiyo huo unaoitumia na wa pili 2. Kutazama unabii na utimilifu wake haswa kukijua kitabu cha Ufunuo. Nicheki +255762425312 na tutajifunza bure kabisa kama upo Dar-es-Salaam na kama upo mkoani itakuwa kwa...
Tanzania ni nchi inayopatikana ndani ya bara la Africa na ipo kwenye ukanda wa Afrika ya mashariki pia kusini mwa jangwa la sahara,ni nchi inayoundwa na nchi mbili ambazo ziliamua kuungana mnamo tarehe 26/04/1964. Muungano huu ulifanyika kwa Jamhuri ya watu wa Tanganyika na Jamhuri ya watu wa...
Utawala bora ni mfumo ambao unasimamia sheria,taratibu na kanuni ambazo husimamiwa na serikali au taasisi yoyote ili kuhakikisha kuwa hakuna ukiukwaji wa haki za binadamu,uvunjifu wa sheria pamoja na maadili ya kazi ambayo yameweka ili kumwongoza kila mmoja katika utendaji wake wa kazi ili...
EDUCATION IS KEY OF LIFE
______________
Godson Kitomary
Tunapozungumzia swala la "ELIMU" Kuwa "UFUNGUO" Wa maisha tunazungumza kijana kuweza kujitegemea mwenyewe na kusimama katika harakati za kupata "MAFANIKIO"
Tunaweza kukaa na kulaumu "SERIKALI" Kuwa "ELIMU" Wanayotupatia haiendani na...
Godson kitomary
Pichani ni kitabu cha "COLENEL GADAFFI" Kinachoitwa "THE GREEN BOOK" Na ndani yake kina mambo matatu kama ifuatavyo:
1. Jinsi ya kutatua matatizo yatokanayo na demokrasia
2. Kutatua matatizo ya kiuchumi
3. Misingi ya kijamaa na nadharia ya mataifa yanayoendelea.
Ndicho kitabu...
"Madhara ya watu kutotaka kujihusisha na siasa madhara yake ni kuamuliwa mambo na watu ambao wamewazidi akili" alisema aristotle hivyo yawezakuwa kuna viongozi umewazidi "AKILI" Na "Maarifa" lakini now wanafanya maamuzi badala yako kwa kuwa umekataa kujihusisha na siasa,wakati kwa asili binadamu...
Hivi kwa mfano ukipewa nafasi ya kuzungumza na mama samia leo utamshauri nini kuhusu suala la kuzuia na kupambana na rushwa japokuwa sheria zipo na taasisi inayoshughulikia maswala hayo ipo.utamshauri afanye nin?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.