GODSON KITOMARY
Member
- Jun 23, 2020
- 12
- 23
Tufanye nini ili kuhakikisha haswa vijana na watoto wapende kusoma vitabu mbalimbali ili kupanua uwezo wao wa kufikiri
Kusoma vitabu ni habit, sio kitu ambacho mtu anaamua tu kwamba sasa ngoja nisome kitabu, its something that one has developed in a lifetimeTufanye nini ili kuhakikisha haswa vijana na watoto wapende kusoma vitabu mbalimbali ili kupanua uwezo wao wa kufikiri