Recent content by Godlove Ngonde

  1. G

    Usiyoyajua kuhusu Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete

    Mjukuu, inaonesha huna kazi ya kufanya
  2. G

    Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

    CHADEMA mtumieni lisu apambane NA magufuli 2020 huyu bwana ni mzalendo kwelikweli
  3. G

    Zijue Sifa na Majukumu ya Mkuu wa Mkoa kisheria hapa Tanzania

    Naona kama watanzania hatujatendewa haki kwakweli. Sijui akina lisu watatusaidiaje.
  4. G

    Rais Magufuli na CCM hizi ndo salamu zenu kutoka Moshi

    Kimaro ama umeyatoa ya moyoni
  5. G

    Utabiri: Ndoa ya madame Flora hatiani

    Hata Vinyimbo vya huyu mdada sitaki kuvisikia
  6. G

    Lissu: Msumeno wa JPM ni butu, inakuwaje kubwa la Mabashite linaachwa?

    Ukawa msifanye kosa 2020, Mwekeni lisu apambane NA MZEE WA kaya.
  7. G

    CCM huenda ikapoteza fursa ya kuongoza kambi ya upinzani 2020

    Hivi kwani chaguzi zilizopita zilikuwaje wapendwa?. Ukweli wanatanzania wanafanya kama inavyostahili, ila kuna tatizo sehemu moja tu "Jecha"
  8. G

    Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma, awataka wajitumbue

    Hapa ndugu zangu tunaweza kuonekana Tanzania ni taifa la ajabu duniani, kwahiyo viongozi wandamizi kama wakuu wa mikoa NA mawaziri ruksa kufoji vyeti kweli!!
  9. G

    Dada na mdogo wake nimewamwagia ugali leo!

    Kapime broo, hayo machangu yaliyoshindikana
  10. G

    On a serious note: CUF halali, acheni kwenda kufanya usafi Jumapili

    Ushauri uliotolewa WA kutumia busara baadala ya kutumia nguvu ungezingatiwa. Hapa Mtatiro tunakuomba
Back
Top Bottom