Rais Magufuli na CCM hizi ndo salamu zenu kutoka Moshi

Status
Not open for further replies.

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,039
18,014
Ulikuja kwa mbwembwe nyakati za uchaguzi kuomba kura
Tukakunyima kura
Ulikuja kilimanjaro na utaiacha hivi hivi
CCM kupata kura za ushindi kilimanjaro hiyo ni ndoto za alinacha sahau
Hatuipa ccm kura maisha!
Hata ujenge viwanda milioni na ajira milioni moshi ccm haitoshinda abadani asilani
Hatujasahau maneno ya maige mtandao kwamba utawala wa ccm unapambana na wachaga kwa kuwa wamejazana sijui kwenye vitengo
Mbunge nzima anatamka kwamba mnapambana na wachaga.kwa kuwa wamejazana tra na crdb that is shame!
Ccm na moshi wapi na wapi
Tunakuahidi 2020 kutakua hakuna diwani hata mmoja wa ccm kilimanjaro
Na mzee ukumbuke sisi hatupewagi vitenge na kofia maana hatudanganyiki
Wala buku 5 coz hatuna njaa
Watu wa moshi wanajielewa mno huwa hatuhadaiwi na vitenge na kofia
Tutaendelea kuupigia upinzani kura za kutosha
Hatuwezi kuupa utawala wako kura au kuunga mkono kwasababu kuna dalili tosha kuwa unaelekea kwenye udikteta
Tanzania ni yetu sote. tuache ukabila na upendeleo wa kujenga chato tu wakati watanzania hawana dawa
Hatujasahau jinsi mkapa na ccm mlivyoua zao la kahawa kwa maksudi kwa kuleta sumu za kemikali ambayo iliua zao la kahawa moshi na arusha sambaba na kushusha bei hili zao kwa maksudi kisa upinzani kushinda moshi
Ijapokua mkapa alikuja kuomba msamaha ila lile ni pigo kubwa mno
Tunataka tanzania yenye mshikamano na umoja bila ubaguzi wa kikabila unaofanywa na serikali yako
Hatusahau mlivyohamishia chuki kwa matokeo ya shule za msingi miaka ya 90 kwa chuki za kisiasa mkafungia vijana matokeo kwa maksudi
Leo ndo tuipe ccm kura? Tumerogwa
Sisi ni timamu kbs
Ni aibu kwa taifa kuona tumeanza kuleta ukabila kwenye uteuzi na nafasi mbalimbali wakati hii ni nchi yetu sote

Prepared by kimaro
Moshi Tanzania
 
Ulikuja kwa mbwembwe nyakati za uchaguzi kuomba kura
Tukakunyima kura
Ulikuja kilimanjaro na utaiacha hivi hivi
CCM kupata kura za ushindi kilimanjaro hiyo ni ndoto za alinacha sahau
Hatuipa ccm kura maisha!
Hata ujenge viwanda milioni na ajira milioni moshi ccm haitoshinda abadani asilani
Hatujasahau maneno ya maige mtandao kwamba utawala wa ccm unapambana na wachaga kwa kuwa wamejazana sijui kwenye vitengo
Mbunge nzima anatamka kwamba mnapambana na wachaga.kwa kuwa wamejazana tra na crdb that is shame!
Ccm na moshi wapi na wapi
Tunakuahidi 2020 kutakua hakuna diwani hata mmoja wa ccm kilimanjaro
Na mzee ukumbuke sisi hatupewagi vitenge na kofia maana hatudanganyiki
Wala buku 5 coz hatuna njaa
Watu wa moshi wanajielewa mno huwa hatuhadaiwi na vitenge na kofia
Tutaendelea kuupigia upinzani kura za kutosha
Hatuwezi kuupa utawala wako kura au kuunga mkono kwasababu kuna dalili tosha kuwa unaelekea kwenye udikteta
Tanzania ni yetu sote. tuache ukabila na upendeleo wa kujenga chato tu wakati watanzania hawana dawa
Prepared by kimaro mushi
Moshi Tanzania
Lakini haiathiri ushindi wake.Kura zenu ni negligible sana
 
Asante kwa kumpa nyeupe pe na team bashite yao...kuna sehemu ccm kwetu ni haramu ni kama nguruwe kuingia msikitini.
ccm ikafie mbali huku hakuna kitenge,kofia,t-shirt,sukari,unga,maji n.k...ila tumlichezea binge ya game sana eti masale tukalamba buku 10 zao kama kawa,balozi wetu ndiyo alikuea naye anakusanya watu,wakuu wa wilaya,mkoa n.k wamepewa tenda ya kuwakusanya raia tunajielewa vema umebugi...
Sisi huku tukiwekewa chura na mtu wa ccm tunamchagua chura, au jiwe na mtu wa ccm tunachagua jiwe na hiyo ndiyo habari.
Na tunaichukia ccm kama shetani vile usidanganyike na team yako ya propaganda watu huchumia matumbo hakuna anayekupenda na chama chako na laiti ungeliona au jua mioyoni.....
 
Asante kwa kumpa nyeupe pe na team bashite yao...kuna sehemu ccm kwetu ni haramu ni kama nguruwe kuingia msikitini.
ccm ikafie mbali huku hakuna kitenge,kofia,t-shirt,sukari,unga,maji n.k...ila tumlichezea binge ya game sana eti masale tukalamba buku 10 zao kama kawa,balozi wetu ndiyo alikuea naye anakusanya watu,wakuu wa wilaya,mkoa n.k wamepewa tenda ya kuwakusanya raia tunajielewa vema umebugi...
Sisi huku tukiwekewa chura na mtu wa ccm tunamchagua chura, au jiwe na mtu wa ccm tunachagua jiwe na hiyo ndiyo habari.
Na tunaichukia ccm kama shetani vile usidanganyike na team yako ya propaganda watu huchumia matumbo hakuna anayekupenda na chama chako na laiti ungeliona au jua mioyoni.....
kbs mkuu ubashite wake wa ccm apeleke kule
 
Wewe huwezi kuwa mchagga, hakuna mchagga mwenye majina ya Kimaro Mushi, hayo ni majina ya koo 2 tofauti, acha uchonganishi!
Ahsante mkuu kwa kusaidia kufikisha ujumbe..huyo sio mtu wa huku...anataka kutuchongaisha na mkuu wa kaya yetu..
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu...moshi kama ilivyo sehemu nyingine za tz wapo wafuasi kindakindaki wa chama tawala na watu wengi sana wanaomuunga mkono mkuu wa kaya na serikali yake.ninaamini mkuu wa kaya mwenyewe na watu wake wa karibu wanalijua hilo.Kikubwa ni hisia hasi ambazo zimejengeka miongoni mwa chama dola na utawala kwa watu wote wanaotoka huku ni wapinzani jambo ambalo sio kweli..wapo wanao kiunga chama dola na serikali yake mkono sana..na wale ambao hawakiungi mkono wasionekane wakosaji hiyo ndio demokrasia..
 
Jamaa ndio wale Wachaga ambao hata kwenye vijiwe vya bia na Saccos za kusaidiana hawashiriki na kabila lingine. Kama hamna maji ya Kilimanjaro atajitesa kwa kiu ili tu asinywe Uhai, duka la mkinga hakanyagi.Badilika mkuu, sio ngumu kama unavyodhani.
 
Ulikuja kwa mbwembwe nyakati za uchaguzi kuomba kura
Tukakunyima kura
Ulikuja kilimanjaro na utaiacha hivi hivi
CCM kupata kura za ushindi kilimanjaro hiyo ni ndoto za alinacha sahau
Hatuipa ccm kura maisha!
Hata ujenge viwanda milioni na ajira milioni moshi ccm haitoshinda abadani asilani
Hatujasahau maneno ya maige mtandao kwamba utawala wa ccm unapambana na wachaga kwa kuwa wamejazana sijui kwenye vitengo
Mbunge nzima anatamka kwamba mnapambana na wachaga.kwa kuwa wamejazana tra na crdb that is shame!
Ccm na moshi wapi na wapi
Tunakuahidi 2020 kutakua hakuna diwani hata mmoja wa ccm kilimanjaro
Na mzee ukumbuke sisi hatupewagi vitenge na kofia maana hatudanganyiki
Wala buku 5 coz hatuna njaa
Watu wa moshi wanajielewa mno huwa hatuhadaiwi na vitenge na kofia
Tutaendelea kuupigia upinzani kura za kutosha
Hatuwezi kuupa utawala wako kura au kuunga mkono kwasababu kuna dalili tosha kuwa unaelekea kwenye udikteta
Tanzania ni yetu sote. tuache ukabila na upendeleo wa kujenga chato tu wakati watanzania hawana dawa
Prepared by kimaro mushi
Moshi Tanzania
Jana naangalia taarifa ya habari, yupo muhuni moja bwana mdogo Katibu mwenezi wa chama cha kijani, nayeye kaamua kwenda Arusha eti kuwaomba samahani wana Arusha maana waliwakwaza, ila hakufafanua kama boss wake kwamba waliwakwaza vipi?
Pamoja na nguvu kazi za wa kurugenzi, ma DC na RC, walizotuma bado wameona hiyo Zone haibadilishi misimamo. Wakumbusheni Upinzani hauuliwi kama kuua wadudu shambani.
 
Bahati nzuri kabila LA wachaga lina idadi ndogo ya watu compare na wasukuma .wasukuma rais ni magufuli na ccm
 
kwanza sina hakika kama unaelewa siasa vizuri,pia acha ukabila wako wa kuwafitinisha wachaga na hizo pumba zako,kitakwimu mkoa kilimanjaro uko 50/50 sio kwa hizi pumba zako,njoo hapa ccp upate moja baridi upunguze mihemko

Uzuri Mukullu yuko recorded,aliongea hayo maneno.Ni vyema kumuasa Rais asipende kuongea maneno ya kibaguzi,chuki na kulipa visasi.

Simshangai aliyeandika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom