Recent content by godfrey_avya

  1. godfrey_avya

    Earphones zinaniua taratibu

    very good advice.
  2. godfrey_avya

    Natafuta wimbo wa Hard Mad - Tamala

    Huwezi amini leo nlikuwa nautafuta huu wimbo wa hardmad na nimeudownload humu humu.. wimbo unanikumbusha mbali sana.. jamani mika daaah..
  3. godfrey_avya

    Naomba kujua, kati ya TCU na UDSM nani anatakiwa amuongoze mwenzake?

    UDSM ni kweli chuo kikubwa na kikongwe hapa tanzania.. ila kama kitakuwa kinatoa wanafunzi vilazaaa kama hawa basi kitashuka hadhi na kupitwa na vyuo vingine vidogo.. kiasi watu watakuwa hawaindi tena pale.. wewe waache waendelee na siasa zao
  4. godfrey_avya

    NISAIDIENI KUNISHAURI KUHUSU HILI LILILONITOKEA TCU

    nashkuru kwa ushauri mkuu.. i hope mambo yatakwenda sawia
  5. godfrey_avya

    NISAIDIENI KUNISHAURI KUHUSU HILI LILILONITOKEA TCU

    altenative means, njia nyingine ya kuuply.. bila ya certificate kabla ya ijumaa ndo mwisho.. sasa uboya wangu nini hapo??
  6. godfrey_avya

    NISAIDIENI KUNISHAURI KUHUSU HILI LILILONITOKEA TCU

    naombeni ushauri.. nimesoma diploma ya IT UCC and ninataka kuuply nacte, bt wanataka cheti cha certifcate ambacho bado sikukichukua mpaka sasa.. and hata kesho neinde niombe still nina process nyingi za kufanya na deadline ni ijumaa.. ila transcript na cheti cha diploma naweza pewa wiki hii...
  7. godfrey_avya

    Rais Magufuli asema anaweza kubadilisha noti kudhibiti wanaoficha hela...

    haya mambo huwa yanafanyika AFRICA mbona mabara mengine hawatishii hvyo??? sasa pesa zangu na ni kwamatumizi yangu unataka nigawie serikali alafu nizitafutie wapi??
  8. godfrey_avya

    Msaada kwa mwenye link inayoelekeza jinsi ya ku unlock Huawei Modem E303-HiLink ya Airtel

    ahsante mkuu nimeflash modem yangu leo 20/07/2016 saa 12:05 AM
  9. godfrey_avya

    Tume ya vyuo vikuu (TCU) yatoa ufafanuzi kuhusu alama za kudahiliwa vyuoni

    A jamaa kashindwa kujua watalamu fek ni watugani..kashiba dengu huyu
  10. godfrey_avya

    Mbeya: Watumishi 11 wasimamishwa kazi kwa kuwa na vyeti feki vya Kidato cha Nne

    au na mimi pia sijaelewa hii lugha kwa kweli
  11. godfrey_avya

    Makapuku Forum

    Nakweli huu uzi ni wamwendokasi
  12. godfrey_avya

    Hatimaye Rich Mavoko ndani ya WCB

    Kweli kula hakuna mwenyewe..
  13. godfrey_avya

    Nauza samsung s4

    Unataka nikujibuje??
Back
Top Bottom