SODOKA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2012
- 1,656
- 724
wewe mhaya pole na tetemekoMmh husiseme hivyo bhana[emoji115]
wewe mhaya pole na tetemekoMmh husiseme hivyo bhana[emoji115]
acha uboya wa kutafuta alternative ......wee unaona kuna shortcut ipi apo....au na we we ni mhaya???naombeni ushauri.. nimesoma diploma ya IT UCC and ninataka kuuply nacte, bt wanataka cheti cha certifcate ambacho bado sikukichukua mpaka sasa.. and hata kesho neinde niombe still nina process nyingi za kufanya na deadline ni ijumaa.. ila transcript na cheti cha diploma naweza pewa wiki hii.. je kuna altenative yoyote ambayo naweza fanya ili kuuply?
altenative means, njia nyingine ya kuuply.. bila ya certificate kabla ya ijumaa ndo mwisho.. sasa uboya wangu nini hapo??acha uboya wa kutafuta alternative ......wee unaona kuna shortcut ipi apo....au na we we ni mhaya???
nashkuru kwa ushauri mkuu.. i hope mambo yatakwenda sawiaKama unaombea NACTE unapewa nafasi lakini hakikisha unafenda ofisi zao zilipo kwa maelezo ya kina zaidi