Recent content by Godfrey waryoba

  1. G

    Matokeo ya lulu kidato cha nne haya hapa

    Kama vipi arudie form 2 kwani bado mdogo ajakomaa kiakili ndo maana anafanya mambo ya ajabu
  2. G

    Mtei, Jussa watu hatari zaidi kupata kutokea Tanzania

    Mzee mtei hafai hata kidogo yeye udini na ukabila ndo aliouweka mbele kwa mtazamo huo ni uchafu na ufinyu wa mawazo,kwanza hana ekima hata kidogo na wala asituletee mila na desturi za kwao
  3. G

    Leo naomba nimtetee mheshimiwa raisi wangu ndugu J M Kikwete

    Mtoa mada naomba niungane na wewe asilimia 100,watanzania baadhi yao wana akili fupi wenyewe all time they are think negative ,kwa mtindo huu mnajifanya mnafahamu kumbe bogas.hakuna kiongonzi anayesifiwa tanzania akiwa bado kiongozi(madarakani) ata kikwete atakuja kuwa mzuri pale atakapoondokoa...
  4. G

    Jamani nisaidieni mnaoijua Kalangalala sec,Geita!

    Ndio ina michepuo ya arts pia lakini ni shule mpya kwa mchepuo wa sayansi.hostel zipo
  5. G

    Jamani nisaidieni mnaoijua Kalangalala sec,Geita!

    Hii shule ipo geita ni shule mpya kwa michepuo ya sayansi ila inaupungufu mkubwa wa walimu kwaiyo kazi ni kwako kijana
  6. G

    Slaa: Tutashinda kwa zaidi ya 80%

    Naamini hakuna chama kama ccm kwa maoni yangu chadema wangemsimamisho zitto agombee kiti cha urasi ata mimi nitamuunga mkono na anaweza akaibadilisha nchi.
  7. G

    Kubadilisha kutoka Tech. College kwenda A-level

    Mimi mwenye nimemaliza six mambo hayajakwenda vizuri na nimeamua kuchukua form atc machua age ili nipige civil eng kwa ushauri wangu form 6 sio dili
  8. G

    Ebu shangaa kikwenu tuone

    Aman'gana abantho wa jf noni mkurya nabakelia bonswe,isa mwita,isa marwa,nyakoro rhobi aganyinga seno, noni kwin'gombe chacha suwabo marwa wegena
  9. G

    Kubadilisha kutoka Tech. College kwenda A-level

    Bwana mdogo acha kupelekwapelekwa Advance school ni ngazi ya secondary na o level pia ni ngazi ya sec acha wehu !! Kapige dip kwanza pale unasomea kazi kwa mifano wapo waliopiga dip na leo wa masters wanakula maisha
  10. G

    mawazo yenu yanahitajika xana

    Kama kafaulu bios,phy,chemistry mwambie aombe certificate za medicine kama nursing,clinical assistant n.k
  11. G

    technical college vs A-level

    Mimi nina mdogo wangu kamaliza form 4 miaka mitatu iliyopita phy-c, chem-c, biology-c, maths-d, geo-d, kisw-d, civics-d na eng-f ana division three na anataka kuomba machua age entry ili asome kozi ya civil engeering arusha tech. Tafadhali wana jf naomba ushauli wenu
  12. G

    Tumalize Ubishi: Kati ya Mwanza na Arusha ni Jiji gani zuri, uchumi na mambo mengine

    Mwanza ni noma ni mji ambao uko planned kwa majengo,kuna ziwa kubwa linalotoa samaki wa kila aina nalo ni victoria,mji ambao umepakana na nchi zaidi 4 kuna migodi kama vile buzwagi,geita gold mine kuna barabara inayounganisha nchi kama kenya,uganda somalia,rwanda,burundi,pamoja na congo,vile...
  13. G

    Ugonjwa wa kucheka cheka

    Si kweli mjomba!!
Back
Top Bottom