Jamani nisaidieni mnaoijua Kalangalala sec,Geita!

Kwenye kumbukumbu zangu,inaonyesha hii shule iko Kongo-kinshasa na sio tanzania.over
 
Kwenye kumbukumbu zangu,inaonyesha hii shule iko Kongo-kinshasa na sio tanzania.over

Acha mambo ya ajabu kama hukutaka kunisaidia si ungekaa kushoto? Mbona mnakosa hata moyo wa huruma jamani,mm nimeuliza kwa heshima na taadhma lakn ww sijui kw nn unakosa adabu kiac hicho,hv ww wa wapi? Kama ni mtu mzima nisamehe ila kiukwl huna adabu!
 
Acha mambo ya ajabu kama hukutaka kunisaidia si ungekaa kushoto? Mbona mnakosa hata moyo wa huruma jamani,mm nimeuliza kwa heshima na taadhma lakn ww sijui kw nn unakosa adabu kiac hicho,hv ww wa wapi? Kama ni mtu mzima nisamehe ila kiukwl huna adabu!

sasa kosa ni kukuambia hyo shule iko congo au?ndo ukweli wangu huo lakn mkuu,wat i know hyo shule iko congo na co tanzania.over
 
Back
Top Bottom