The_Emperor
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 871
- 125
Nilimaliza kidato cha nne mwaka 2011 na matokeo yametoka nimefaulu kwa div 2 (combi zote zimebalance) ila nilijaza first choice Tech. College(D.I.T)
Kuna wa2 wamekuwa wakinishauri kama nikichaguliwa huko niende kubadilisha na wamenipa sababu. Je, ninaweza kubadili kama nikichaguliwa tech.coll. niende A-level na nianzie wapi?
Kuna wa2 wamekuwa wakinishauri kama nikichaguliwa huko niende kubadilisha na wamenipa sababu. Je, ninaweza kubadili kama nikichaguliwa tech.coll. niende A-level na nianzie wapi?