Kubadilisha kutoka Tech. College kwenda A-level

The_Emperor

JF-Expert Member
Mar 23, 2012
871
125
Nilimaliza kidato cha nne mwaka 2011 na matokeo yametoka nimefaulu kwa div 2 (combi zote zimebalance) ila nilijaza first choice Tech. College(D.I.T)

Kuna wa2 wamekuwa wakinishauri kama nikichaguliwa huko niende kubadilisha na wamenipa sababu. Je, ninaweza kubadili kama nikichaguliwa tech.coll. niende A-level na nianzie wapi?
 
Bora uende TECH kwan kwa hao watakao maliza form 6 2takuwa nao sawa mie mwenyewe naenda MIST civil engineering,lakn nimepata DIV-1-16.
 
Bora uende TECH kwan kwa hao watakao maliza form 6 2takuwa nao sawa mie mwenyewe naenda MIST civil engineering,lakn nimepata DIV-1-16.

Wanasema eti baadae itanicost coz elimu ya form1 mpk 6 itakuwa ya lazima!!
 
Usiogope hayo ni maneno 2 ya watu. Kazi kukaza msuli afanye vizur kweny ordinary diploma badae unajiunga na Bachelar hakuna cost yoyot!! hata mimi nimemaliza mwaka jana na nilichagua dit fist choice.
 
Anayekushauri usiende ana mawenge kapige shule ya ukweli kijana hata sisi tumepiga hizohizo pia.
 
Bwana mdogo acha kupelekwapelekwa Advance school ni ngazi ya secondary na o level pia ni ngazi ya sec acha wehu !! Kapige dip kwanza pale unasomea kazi kwa mifano wapo waliopiga dip na leo wa masters wanakula maisha
 
dogo umechelewa sana ulitakiwa ufanye hiyo kitu wiki ile ya kwanza baada ya matokeo kutoka (before selection), sisi kipindi chetu miaka ile tulikuwa tunajaza form za kuchagua shule kwa pencil (sijui miaka hii mnajaza vipi) ili ikitokea umebadili mawazo ya kubadili combination au shule unakwenda tu pale baraza (if not mistaken) unafuta ile form kwa ufutio mimi nilifanya hii kitu. Sasa hivi naimani selection imeshafanyika labda uende private school a-level
 
dogo umechelewa sana ulitakiwa ufanye hiyo kitu wiki ile ya kwanza baada ya matokeo kutoka (before selection), sisi kipindi chetu miaka ile tulikuwa tunajaza form za kuchagua shule kwa pencil (sijui miaka hii mnajaza vipi) ili ikitokea umebadili mawazo ya kubadili combination au shule unakwenda tu pale baraza (if not mistaken) unafuta ile form kwa ufutio mimi nilifanya hii kitu. Sasa hivi naimani selection imeshafanyika labda uende private school a-level
Nimeambiwa inawezekana hata baada ya posts kutoka!
 
Usiogope hayo ni maneno 2 ya watu... kazi kukaza msuli afanye vizur kweny ordinary diploma badae unajiunga na Bachelar hakuna cost yoyot!! hata mimi nimemaliza mwaka jana na nilichagua dit fist choice..

Vp ukiunganisha na bachelor unapewa mkopo?
 
Ukiwa hapo DIT unaweza kuendelea na masomo yako ya high school na ukafanya mtihani vilevile wa kuingia chuo kikuu.
 
Bora ww mkuu mwenzio nimechaguliwa kigonsere PCM ambayo cjui hata iko mkoa gan pls wadau kuna uwezekano wwt wa kubadilishiwa shule?
 
Dogo wewe binafsi unataka nini? Kama;

i) unataka kwenda collage basi nenda DIT, MIST au chuo cha maji na ukienda huko kakaze ili upate daraja B+ (60-69) or above nikimaanisha upper second and above, hii itakuwezesha kusoma chuo kikuu chochote unachokiitaji ili hali masomo yako yaendane na hiyo taaluma. Pia itakusaidia kwani utakuwa unakutana na watu wanaochukua shahada na watakushauri mambo mbalimbali, tofauti na advance mwendo wa uniform na manyanyaso kibao kutoka kwa walimu, ila chuo mahusiano na walimu ni mazuri na ukitumia hayo mahusiano vizuri basi mambo ni mteremko.

Ila mwaka wa masomo 2011/2012 yalitokea mabadiliko juu ya mikopo kwa watu wa diploma sema mwaka huu litashughulikiwa according to wizara, sababu kubwa ya kuwanyima mkopo ni kwamba inasemekana wengi wao wanaochukua diplo ni workers so wanaweza kujisomesha.

ii) advance haina tofauti kubwa na o-level sema huku NECTA wanabana kimtindo. Ila ukiwa makini chuo unaingia na unafaidi boom(mkopo) kama kawaida ni jitihada tu.

Ushauri wangu kama umepangwa chuo cha tech bac kapige shule dogo ucpende kusikiliza mawazo ya watu mlioko level moja ukiona yanakupotosha. Wewe nenda kwa wanachuo wenyewe wakakushauri na hao wanachuo ndio sisi. HAKUNA SHIDA DOGO UKIPATA DIPLO UNAAPPLY BACHELOR UNAPATA KAMA TU UNAVIGEZO VYOTE KAMA NILIVYOELEZA HAPO JUU.
 
Dogo wewe binafsi unataka nini? Kama;

i) unataka kwenda collage basi nenda DIT, MIST au chuo cha maji na ukienda huko kakaze ili upate daraja B+ (60-69) or above nikimaanisha upper second and above, hii itakuwezesha kusoma chuo kikuu chochote unachokiitaji ili hali masomo yako yaendane na hiyo taaluma. Pia itakusaidia kwani utakuwa unakutana na watu wanaochukua shahada na watakushauri mambo mbalimbali, tofauti na advance mwendo wa uniform na manyanyaso kibao kutoka kwa walimu, ila chuo mahusiano na walimu ni mazuri na ukitumia hayo mahusiano vizuri basi mambo ni mteremko.

Ila mwaka wa masomo 2011/2012 yalitokea mabadiliko juu ya mikopo kwa watu wa diploma sema mwaka huu litashughulikiwa according to wizara, sababu kubwa ya kuwanyima mkopo ni kwamba inasemekana wengi wao wanaochukua diplo ni workers so wanaweza kujisomesha.

ii) advance haina tofauti kubwa na o-level sema huku NECTA wanabana kimtindo. Ila ukiwa makini chuo unaingia na unafaidi boom(mkopo) kama kawaida ni jitihada tu.

Ushauri wangu kama umepangwa chuo cha tech bac kapige shule dogo ucpende kusikiliza mawazo ya watu mlioko level moja ukiona yanakupotosha. Wewe nenda kwa wanachuo wenyewe wakakushauri na hao wanachuo ndio sisi. HAKUNA SHIDA DOGO UKIPATA DIPLO UNAAPPLY BACHELOR UNAPATA KAMA TU UNAVIGEZO VYOTE KAMA NILIVYOELEZA HAPO JUU.

Thanx mkuu,much luv 2 ya!
 
Dogo umenikumbusha kipindi nimemaliza,mie pia nilipata 2 na kombi zote zilikubali,ila nikachaguliwa kwenda DIT mimi nikawa nakataa kabisa nikafanya na mipango ya kubadilisha bila kusema nyumbani kwani nyumbani wazazi walifurahi sana mimi kupata collage mwishoni kikaitwa kikao cha ndugu na jamaa wote ili wanishauri baada ya kujua kua mie sitaki kwenda DIT wakanipiga mkwara sana na kuniambia kua nikienda 6 hawatanilipia ada wala hela hawatanitumia

Ikabidi niende DIT.kitu nilichofanya pale ilikua ni kupiga misuri,kipindi namaliza nikapata ajira moja kwa moja,nikawa napata hela ya kutosha kimaisha ya ujana ilikua kama laki 7 kwa mwezi,wazazi wakaanza kuniambia tulikwambia sasa bila cc kukukata usiende 6 ungekua unapata wapi hizo hela,wakati huo marafiki zangu walioenda 6 ndo walikua waingia chuo mimi niko kazini wakawa wananitamani sana mpaka wakawa wanajuta.

Matokeo yalitoka mazuri nikaomba vyuo kama 3 bongo na 2 nje vyote nikapata nikaona niende nje,uko walipoona kuna vitu vingi ninavijua wakanirusha mwaka nikamaliza sawa na wale watu wa 6 walioingia chuo ngoma ikawa droo

Niliporudi kuanza kutafuta kazi mimi nikawa napewa kipaumbele kuliko wale wa 6 kwani nilikua na experience ya kazi,nikaanza kuchagua wapi watanilipa vizuri.

Sasa kwa ushauri wangu wewe nenda DIT kama utachaguliwa uko ila kafanye shule pale sio kwenda kufukuzia watoto wa shule na madem wa CBE.
 
dogo umenikumbusha kipindi nimemaliza,mie pia nilipata 2 na kombi zote zilikubali,ila nikachaguliwa kwenda DIT mimi nikawa nakataa kabisa nikafanya na mipango ya kubadilisha bila kusema nyumbani kwani nyumbani wazazi walifurahi sana mimi kupata collage mwishoni kikaitwa kikao cha ndugu na jamaa wote ili wanishauri baada ya kujua kua mie sitaki kwenda DIT wakanipiga mkwara sana na kuniambia kua nikienda 6 hawatanilipia ada wala hela hawatanitumia

ikabidi niende DIT.kitu nilichofanya pale ilikua ni kupiga misuri,kipindi namaliza nikapata ajira moja kwa moja,nikawa napata hela ya kutosha kimaisha ya ujana ilikua kama laki 7 kwa mwezi,wazazi wakaanza kuniambia tulikwambia sasa bila cc kukukata usiende 6 ungekua unapata wapi hizo hela,wakati huo marafiki zangu walioenda 6 ndo walikua waingia chuo mimi niko kazini wakawa wananitamani sana mpaka wakawa wanajuta.

matokeo yalitoka mazuri nikaomba vyuo kama 3 bongo na 2 nje vyote nikapata nikaona niende nje,uko walipoona kuna vitu vingi ninavijua wakanirusha mwaka nikamaliza sawa na wale watu wa 6 walioingia chuo ngoma ikawa droo

niliporudi kuanza kutafuta kazi mimi nikawa napewa kipaumbele kuliko wale wa 6 kwani nilikua na experience ya kazi,nikaanza kuchagua wapi watanilipa vizuri.

sasa kwa ushauri wangu wewe nenda DIT kama utachaguliwa uko ila kafanye shule pale sio kwenda kufukuzia watoto wa shule na madem wa CBE.

dah mkuu,umenipa bonge moja la confidence,nashukuru sana!
 
Mimi mwenye nimemaliza six mambo hayajakwenda vizuri na nimeamua kuchukua form atc machua age ili nipige civil eng kwa ushauri wangu form 6 sio dili
 
Bora uende TECH kwan kwa hao watakao maliza form 6 2takuwa nao sawa mie mwenyewe naenda MIST civil engineering,lakn nimepata DIV-1-16.

dottoz, acha uongo we dogo yani wewe si una credit 2 tena una div 4, alafu unaxema eti una 1? So fair kusema uongo bora uwe muwaz kaka kwan hakuna atakayekucheka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom