Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
Habari wadada?
Hii ni maalum kwa wadada wote mliowahi kusoma boarding, miaka ile nikiwa secondary niliwahi kusikia kuwa imewahi kutokea kwa shule kadhaa kwa wadada kuugua ugonjwa wa "kucheka cheka" naomba kujua ni kweli hali hii ilikuwa inatokea? inatokeaje? na dawa yake ilikuwaje? na kwa wavulana je? ntashukuru kupata mawazo ya kitaalamu/yenye tija katika hili
Hii ni maalum kwa wadada wote mliowahi kusoma boarding, miaka ile nikiwa secondary niliwahi kusikia kuwa imewahi kutokea kwa shule kadhaa kwa wadada kuugua ugonjwa wa "kucheka cheka" naomba kujua ni kweli hali hii ilikuwa inatokea? inatokeaje? na dawa yake ilikuwaje? na kwa wavulana je? ntashukuru kupata mawazo ya kitaalamu/yenye tija katika hili