Yaani iko ivii broo, wanakuja na gari wanakuambia tuna tv mpya tumeichomoa sehemu wanakujaribishia kabisa,kisha wanakutajia bei yajuu ukishindwa bei wanarudisha kwenye box lake wanarudisha kwenye gari lao wanakaa kidogo kisha anarudi mmoja anakutajia bei ambayo unaweza kuimudu kununua ukikubali...
Katiba yetu inakibeba chama tawala ndio maana wanapiga danadana katiba mpya, katiba iliyopo inasema mtu akishatangazwa na tume ya uchaguzi hakuna mamlaka yoyote inayoweza kutengua, sasa hapo vyama vya upinzani visahau kushika dola hata mshinde kwa 100%
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.