Na mambo mengine ya hovyo yanayofanywa na viongozi mngekua mnayashikia bango hivi hii nchi ingekua mbali sana.
Wewe polepole akihojiwa unanufaika Nini??
Huyu ni chawa, there is no way mtu mwenye akili timamu akaandika hiki kitu ukiangalia na Hali halisi iliyoko nchini.
Huhitaji kuwa politicians kuelewa kuwa the country is rotten to the core .
Jipu uchungu ni hizi shule zilizosahaulika watoto wanakaa chini shule ni mbovu chakavu na zinanuka kinyesi Cha popo wilaya ya muheza ,wilaya ya muleba Kwa matembezi yangu ndio nmezikuta hizo shule ukiambiwa ni shule hutaweza kuamini hata kupumua tu ni shida harufu Kali ya kinyesi Cha popo...
Wewe umeweka ushahidi wowote zaidi ya kulinganisha pande mbili ambayo hauna
Mashiko , kusema chuki binafsi Hilo neno tumeshalizoea hamna chuki binafsi vitu vionekane na vinavyoonekana ni utumbo mtupu nasemaje 2025 mkitoboa ni either Kwa kuhonga au kuiba kura period"
Status: Job seeker
Gender: Female
Age: 28years
Education: Degree in geography and environmental studies
Experience: 1 year in monitoring, evaluation and GIS
: 2 years in data collection and analysis.
4 months as a environmental coordinator.(At site).
Availability: Available.
Skills: Computer...
Habari wanajamvi,
Leo asubuhi tumepata ugeni wa afisa Toka uhamiaji. Hapo ndiyo nlipojua madudu ya Hawa jamaa.
Ofisi ni ya wachina wameonyeshwa passport wakajiridhisha ila wakawa wanatuhoji Kwa nguvu Kwa kufoka pili wanaongeza vitu vingine ilimradi tu wapate pakuwakawamata Ili watoe fedha...
Binafsi sijaona Cha kufanya ndoa ivunjike Kuna madhara gani yanatokea baada ya kugundua hakuna..so why kufanya mambo magumu huyo baba alikua anatafuta sababu tu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.