Recent content by Godface

  1. Godface

    Ukitaka kuuza gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana

    Haya ni Mawazo ya kimaskini sana , na ukweli watu Wana mentality za kishamba sana ,gari isipokuwa Toyota bac watu hawataki kbs ila ukweli Kuna brand Bora na imara na reliable zaidi ya Toyota nimenunua Mazda cx5 mpk Leo cjajuta
  2. Godface

    Msaada wenu unahitajika haraka sana

    Hapo unataka kupigwa kifala sana shituka
  3. Godface

    Waziri Gwajima: Marekani imechanja 2.4% ya watu wake na J&J

    Nchi hii bwana mtu akipata bando tayari ameshakuwa daktari , anaongea mambo ya msi gi sana ,wengine hata medical hawajasomea wala pharmacology ,Tuache unduwazi unapopata ursa hebu chanjwa usije ukatufia bure sent from HUAWEI
  4. Godface

    Hizi chanjo za Corona zinaenda kuondoa herd immunity tuliyoipata nchini

    Una talamu yoyote inayohusu mambo ya chanjo ?? Au unaongea tu kwa mihemko ,ni heri haya mambo wakaongea wanaosemea fani husika ,kuliko kuleta porojo kwenye mambo ya maana,kwan mzungu akitaka kukuua lazima ahangaike na chanjo zipo ,njia nyingi za kukuondoa tuache fikra za ukale hivi elimu...
  5. Godface

    Wapi naweza kupata viti vya plastiki kwa bei ya jumla

    WAPI NAWEZA KUNUNUA VITI VYA PLASTIKI KWA BEI YA JUMLA KWA DSM sent from HUAWEI
  6. Godface

    Hizi seat covers za Safari Automotive ni next level

    Wale ma expert wa pale ni wakenya .....na wakenya wapo vizuri sana wametuacha sana katika modification za magari .......hata moshi gereji nyingi wamejaa wakenya sent from HUAWEI
  7. Godface

    Naomba mwenye ujuzi, uzoefu au connection ya kufanya modification ya muonekano wa Toyota belta

    Inawezekana kabisa ,mtafute oomy painter inster mshirikishe wazo lako atakusaidia sent from HUAWEI
  8. Godface

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Tafuta mafuta ya kupunguza friction sent from HUAWEI
  9. Godface

    Soma hapa ujifunze madhara ya sembe

    Mnaleta porojo za usabato hapa watu tunakula sembe na maisha yanaenda poa sent from HUAWEI
  10. Godface

    Hizi seat covers za Safari Automotive ni next level

    Vipi bei zenu nataka kufanya full cover ndani gari yangu ni mazda cx 5 mwaka 2012 ...gharama ni sh ngapi ...na itachukua siku ngapi??
  11. Godface

    Kigezo kinachotumika kuaminisha Rolls Royce ya diamond ni feki ni ushamba wa magari

    Watanzania tuache roho za uchawi ,pqnapo stahili mtu kusifiwa asifiwe tu ,roho za korosho za nini hazinengi wengi wanaoshabilkia fake hata paaso hawana
  12. Godface

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Kaka hbr naomba msaada nina mazda rx 7 , ina km 140,000 ghafla tu gari imeqnza kukosa nguvu kbs , engine yake ni ROTATARY , mafuta pia consuption imebadilika na inachelewa sana kuchanganya tatizo hapa linaweza kuwa nini wengine wananishauri kuwa engine hiyo mda wake umeisha hivyo nibadili niweke...
  13. Godface

    Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    Bora sienta new model imekaa poa ,sana fuel economy sent from HUAWEI
  14. Godface

    Wapi naweza kupata spare aina ya boll joint (Mazda CX 5)

    Nimepata Dsm karibu na kituo cha mabus ya mwendo kasi kuna mwamba anauza spare pars za brand mbalimbali sent from HUAWEI
Back
Top Bottom