Recent content by Go ahead

  1. G

    Biashara ya dagaa

    kua makini usijaribu kwenda eneo la kukusanyia mzigo' huku bado haujafanya taratibu za vibali, ushuru na leseni ya biashara ' utakuja kujuta mimi hadi leo nalia na mwenyeji wangu' nilienda kimoyomoyo"
  2. G

    JamiiForums Usiku wa manane

    mkuu" Dege' kubwa tuo ufafanuzi tuje na gprs ya goole
  3. G

    Simulizi Ya Kweli: Mauaji ya Wachawi Dodoma na kisa cha 'Kanyaga Twende'

    matata" kipepeo Jungu" unaonaje hii story utafute watu mshirikiane iweke ktk movie" utapiga pesa"
  4. G

    Naomba ufafanunuzi juu ya kisa cha tajiri na yesu(luka 18:18-27)

    kumbe hata ukizishika amri zote upo uwezekano mbinguni usiingie. mimi nilijua ndani ya amri kumi ndio zimebeba vigezo vyote vya kuingia mbinguni" na jamaa alimhakikishia YESU' kua amezishika tokea utotoni ndio maana alijibu kwa uhakika . kama ingekuwepo kuna hata amri moja aliyoivunja...
  5. G

    Chonde Chonde Mama Zinduna, hata Mimi nina moyo!

    mh!!!!! kweli mama zinduna haukuigusa hata nanih'ii yake????
  6. G

    Naenda Dar kutafuta maisha, naombeni direction

    ukifika jichanganye ktk miradi ya makampuni ya ujenzi' anza kupiga kazi za kibarua baadae utapata ujuzi, ndani ya iyo kampuni' kama operator wa roller, scavator, wheelroader, dozier, driver, electrician, carpenter, steelfixer, scaffolder na vingine vingi, kama, safety controller hivyo vyote...
  7. G

    Jirani anafuga nguruwe wananikera sana, nifanyeje ili wafe?

    unaonaje ukiuza nyumba ukajenge mahali pengine' nakule ukimaliza tu' kujenga anaongezeka jirani mwingine pembeni tu' ya nyumba yako anafuga hao wadudu'
Back
Top Bottom