Naenda Dar kutafuta maisha, naombeni direction

Naenda Dar kutafuta maisha, naombeni direction

Ukifika nicheki nikupe deal la kuuza mihadarati maana huku Dar biashara halali na kuzima kwa umeme huku hata azilipi.
 
1.Uza kahawa, karanga, machungwa, matunda,mayai,mitumba,umachinga,kuuza mifuko,kuosha magari,saidia fundi,parua samaki feri,kupakia mchanga, kuokota makopo ,chuma chakavu,mabox,nailoni.kupiga debe bidhaa masokoni.
SEHEMU ZA KULALA
.Chini ya madaraja,vibaraza vya madukani mjini,stand kuu,beach baharini, mashuleni, msikitini, kanisani, airport, kwenye masofa ya night clubs,nk
Maisha popote tu ukiwa na malengo.Mjini njoo na akili na uaminifu wako tu
Umetisha!
 
ukifika jichanganye ktk miradi ya makampuni ya ujenzi' anza kupiga kazi za kibarua baadae utapata ujuzi, ndani ya iyo kampuni' kama operator wa roller, scavator, wheelroader, dozier, driver, electrician, carpenter, steelfixer, scaffolder na vingine vingi, kama, safety controller hivyo vyote unavijulia ukiwa kama kibarua.
 
ukifika jichanganye ktk miradi ya makampuni ya ujenzi' anza kupiga kazi za kibarua baadae utapata ujuzi, ndani ya iyo kampuni' kama operator wa roller, scavator, wheelroader, dozier, driver, electrician, carpenter, steelfixer, scaffolder na vingine vingi, kama, safety controller hivyo vyote unavijulia ukiwa kama kibarua.
 
Kwa wazoefu wa jiji la Dar nina pesa ya nauli na ya kula tu kulala nitajua mbele kwa mbele pesa ya kula ipo ya wiki mbili kwa milo miwili tu kwa siku bajeti ya 2000 per day, naombeni direction
Ina maana hapo huna maisha? Mkuu maisha nani alikwambia yapo Dar? Huku nako watu wanakufa kama huko tu wanapoteza maisha. Kama wewe umekufa au unakaribia kufa fia huko huko uliko ingekuwa dar kuna maisha huku watu wangekuwa nayo hata matatu au manne.
 
Meseji uliyonitumia nimeiona
unataka kuja mjini kaka
huku mjini wala hakuna raha
matatizo kila kukicha

Unaweza ukaja kuwa tu chokoraa
unaweza ukaja kuwa panya road
watu wakakukamata wakakuchoma
ajira nyingi mjini zimekoma

watu wanaokota makopo kaka
unaweza ukaja ukawa unapakatwa
huko Kimbiji wakasikia wakakucheka
keshokutwa usije Mjini kaka

nakusihi usije dar es salaama
umaarufu mi nlionao mpaka leo naunga unga
wanasiasa na mafisadi ndo wapo juu
chizi mimi bado nataabika

we nisubiri Kimbiji
usije kaka
usije mjini kaka
nakuomba usije Dar es salaama
 
Kwa wazoefu wa jiji la Dar nina pesa ya nauli na ya kula tu kulala nitajua mbele kwa mbele pesa ya kula ipo ya wiki mbili kwa milo miwili tu kwa siku bajeti ya 2000 per day, naombeni direction
Hakuna maji wala umeme aisee so basi tu .

Unaoga mara Moja Kwa mwaka halafu maisha popote ili mradi ufuate kilichokuleta basi
 
Pole sana nimejilinganisha mimi nilivyo kuja mjini na wewe nimejikuta na kuonea huruma sana kweli maisha hayafanani nakumbuka mimi naingia Dar nilifikia kwa ndugu na niliishi vizuri kama mayai sikupitia maisha ya tabu sana Mungu akuongoze
 
Meseji uliyonitumia nimeiona
unataka kuja mjini kaka
huku mjini wala hakuna raha
matatizo kila kukicha

Unaweza ukaja kuwa tu chokoraa
unaweza ukaja kuwa panya road
watu wakakukamata wakakuchoma
ajira nyingi mjini zimekoma

watu wanaokota makopo kaka
unaweza ukaja ukawa unapakatwa
huko Kimbiji wakasikia wakakucheka
keshokutwa usije Mjini kaka

nakusihi usije dar es salaama
umaarufu mi nlionao mpaka leo naunga unga
wanasiasa na mafisadi ndo wapo juu
chizi mimi bado nataabika

we nisubiri Kimbiji
usije kaka
usije mjini kaka
nakuomba usije Dar es salaama
Mjini, Jijini kuna vijimambo vya ajabu ajabu sana anyway kaona na kasikia ulichomwandalia
 
Back
Top Bottom