vipanda thamani
JF-Expert Member
- Jul 7, 2022
- 271
- 408
Matajiri wako ambazo wataurithi ufalme wa Mungu ,sababu ya Yesu kumwambia vile sio kwamba Yesu hapendi matajiri Wanafunzi waYesu walikuwa matajiri Sana,sababu ni kiroho alimuona mtu Yule anapenda Mali zake kuliko kumpenda Mungu ndio mana alisema vile ila watu waMungu ni matajiri, kumpenda Mungu kunatakiwa kuzid kumpenda malizako au chochote ulicho nacho, soma Ibrahim alivyomtoa isaka kuonyesha mwana si kitu Zaid ya Mungu utajiri wake ukizid Sana alikuwa tajiri Sana Kwa Yesu kuna utajiri SanaUkisoma katika luka 18:18-27 kuna kisa cha kijana tajiri na yesu. Kijana anataka kuingia katika ufalme wa mungu na kazishika amri zote tangu utoto wake. Lakini yesu anamwambia ili aupate ufalme wa mungu basi auze mali zake zote na kuwagawia maskini kisha amfuate. Kijana anaondoka kwa masikitiko kwa sababu alikuwa na mali nyingi.
maswali yangu,
je, matajiri hawataurithi ufalme wa mungu kwa sababu ya mali zao?
definition ya utajiri hapo ni ipi??
Kwa sababu kila mtu kuna kitu kamzidi mtu mwingine, je na mimi niuze nyumba,gari au hata hii simu niliyonayo ili nikamsaidie asiye na vitu hivyo ili niingie kwenye ufalme wa mungu??
mwishoni yesu aliposema kwa mwanadamu hayawezekani bali kwa mungu yanawezekana alikuwa na maana gani?,