Recent content by Gmhongole

  1. G

    Kitambulisho cha taifa kuwa na expire date maanake nini?

    Ili wapate kuiba tena hata mm haiingii kichwani
  2. G

    BOT na Kashfa ya kuuzwa kwa sarafu ya mia tano /Tsh 500

    Achana na uzushi hakuna kitu kama hicho
  3. G

    Madereva wa kike kwanini mko hivi?

    Wasameheni hao hasa akina Dada kwani wao kuendesha magari wanaona ni fashion
  4. G

    Mjue Mtemi Mkwawa wa uhehe na Wahehe

    Big up mtoa maada chezea wahehe wewe
  5. G

    Ushindi wa Mayweather utata

    Matapeli wakubwa upendeleo dhahili kabisa hata kwa asie jua sheria za ngumi lkn ndiyo hivyo majaji ndiyo wenye maamuzi ya mwisho
  6. G

    Picha: Bilionea Dangote akagua ufukwe atakaojenga bandari yake ya kisasa Mtwara

    Haya ndugu zangu wa kijiji cha MSIJUTE msije juta kama jina lenyewe
  7. G

    Gwajima: Sina ugomvi na Jeshi la Polisi wala Serikali

    Haa haa haaaa kweli ni shidaaaa
  8. G

    SUMATRA yawafutia leseni madereva sita waliosababisha ajali na kuua

    Huyu meneja wa Tanroad anastahili kafukuzwa kazi kwa uzembe wa hilo shimo maana lipo siku nyingi na lilizidi kuongezeka siku hadi ilipotokea ajali na analijuwa vizuri ni uzembe wa hali ya juu
  9. G

    Charles Hillary: Nimestaafu kwa Hiari

    Karibu nyumbani utupe vionjo vya utangazaji wa mpira japo siku moja moja
  10. G

    Je! Ni kweli wahehe wanakula mbwa?

    Daaa mm sijaona cha ajabu nyama ya mbwa ni kitoweo kizuri kama vitoweo vingine yaani mumenifanya nifungue friji nichukue kipande na kukipasha moto shida yenu hamjui utamu wake nyee vamwagito na vasegito
  11. G

    Gwajima akimbizwa Hospitali Muhimbili usiku huu

    Adhabu ni hapa hapa duniani akiona watu wanamshangilia anajiona mtumishi wa mungu huku akisahau madhambi yake lakini wastarabu tunamsamehe
  12. G

    Audio: Alichosema Askofu Dkt. Josephat Gwajima kwa Kardinali Pengo

    Usiumize kichwa kwa huyo mwana kondoo mpenda wake za watu
Back
Top Bottom