Huyu meneja wa Tanroad anastahili kafukuzwa kazi kwa uzembe wa hilo shimo maana lipo siku nyingi na lilizidi kuongezeka siku hadi ilipotokea ajali na analijuwa vizuri ni uzembe wa hali ya juu
Daaa mm sijaona cha ajabu nyama ya mbwa ni kitoweo kizuri kama vitoweo vingine yaani mumenifanya nifungue friji nichukue kipande na kukipasha moto shida yenu hamjui utamu wake nyee vamwagito na vasegito
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.