Kitambulisho cha taifa kuwa na expire date maanake nini?

Kitambulisho cha taifa kuwa na expire date maanake nini?

Swali lako Ni la msingi Sana ila bahati mbaya wengi wamekimbilia kukujibu(hata Kama hawaelewi zaidi yako). Kwenye process ya kupata kitambulisho chako Kuna 'variable details' umesajilisha. Mfano sura, mfanyakazi/mwanafunzi, makaazi, marital status, nk. Kwa hiyo baada ya muda husika maisha yako yanabadilika kwa mambo mengi mfano;mwanafunzi>kuajiriwa, sura inabasilika, unaweza hamishia makaazi mahali tofauti Na eneo ulilopatia kitambulisho nk. Hivyo ku-renew kitambulisho maana yake kusajilisha current variable details zako. Usipokuwepo huo utaratibu sisi wenyewe siku moja likijatokea tazizo la serikali kutumia invalid details tutajaa humu kutukana kama vile hatuna malezi mema. Nawasiliaha.

Wapo watu wachache sana humu jf watu wenye akili timamu kama wewe,wengi wanakimbilia kuandika tu bila ya kujua wanaandika nini,ili mradi tu waonekane wajuaji!
 
Swali lako Ni la msingi Sana ila bahati mbaya wengi wamekimbilia kukujibu(hata Kama hawaelewi zaidi yako). Kwenye process ya kupata kitambulisho chako Kuna 'variable details' umesajilisha. Mfano sura, mfanyakazi/mwanafunzi, makaazi, marital status, nk. Kwa hiyo baada ya muda husika maisha yako yanabadilika kwa mambo mengi mfano;mwanafunzi>kuajiriwa, sura inabasilika, unaweza hamishia makaazi mahali tofauti Na eneo ulilopatia kitambulisho nk. Hivyo ku-renew kitambulisho maana yake kusajilisha current variable details zako. Usipokuwepo huo utaratibu sisi wenyewe siku moja likijatokea tazizo la serikali kutumia invalid details tutajaa humu kutukana kama vile hatuna malezi mema. Nawasiliaha.

Mkuu kwa hili nimekukubali sana....
 
Hapo inaonesha kiki-expire na ww unakuwa si Mtz hadi u-renew tena.
 
Nilitaka nikujibu vibaya lakini baada ya kukuona sura kwenye face book na mitandao mingine ya kijamii nimegundua kwamba wewe ni kijana mdogo na unahitaji kufahamishwa.
Hebu iangalie picha yako kwenye hicho kitambulisho, Je ? miaka hamsini ijayo sura itakua hiyo hiyo ?
Jibu hilo kwanza ndio nikupe sababu tano za ku re new kitambulisho baada ya miaka kumi.

Genius kudadadeki
 
hii ni biashara ati..acha mambo yako..LOL..everythng needs renewal bana,hata passport unarenew mbona hamlalamiki hicho, data zinahitajika kuwa renewed
 
Back
Top Bottom