Kuna mahali kaiponda Kenya kwa kuwa na Marais waliotoka makabila mawili tu lakini Tz tumekuwa na Marais kutoka makabila 6 tofauti. Lakini ajabu hajasema kwanini upande wa Tz Marais hao 6 ni kutoka Bakwata na TEC tu na siyo Imani nyingine tofauti...
Dkt Mujwahuzi kazingua
Tumia kiunganishi (link)kifuatacho ili uweze kuchangia maoni yako. Huhitaji kutaja jina maana taarifa za mtoa maoni ni siri (anonymous) hata kwa mpokea maoni. Unaweza kuandika majibu yako kwa Kiswahili iwapo utaona lugha ya malkia inazingua. Lengo la survey hii ni kutimiza matakwa ya kitaaluma...
Tunapenda kuchanganya madesa...wao wameagiza kumbi za Sinema zisioneshe hii muvi hawajapinga wananchi wasitazame kwa nafasi zao. Haya mambo hayawezi kuachwa hivi hivi eti kisa kuna watanzania wataweza kuangalia online ama vinginevyo. Sigara zimekatazwa lakini hazijazuiwa sasa ukienda kwa mtazamo...
Kwa vile umedandia gari kwa mbele ndiyo maana umeuliza maswali hayo. Ungefuatilia ni wapi nimetokea na maelezo yangu usingeuliza hivyo lakini usijali ndiyo hulka yetu Watanzania. Next time hujaelewa unauliza kuliko kuchangia tuu ili mradi mtu kaandika nawe uandike.
Sasa wakibadilisha Agency kama TBA iwe shirika unataka NHC iwe nini sasa? Kuhusu TANESCO, kilichobaki ni Sheria kubdilishwa lakini kwenye Strategic Plan ya Shirika, kutakuwa na mashirika matatu tofauti ambayo yataingizwa kwenye Soko la Hisa kwa ajili ya kuruhusu umma kumiliki hisa. Hivyo...
Msiumize vichwa wapendwa, jambo la msingi tutambue kuwa Mabaraza ya Katiba yalijadili kile kilichoandikiwa baada ya mawazo ya wadau kukusanywa (kabla Rasimu ya kwanza haijatoka). Maoni ya msingi yalikuwa ni yale yaliyokusanywa mwanzo. Unajua ni sawa na mtihani ukiishafeli swali moja halafu ukaja...
Hahaha mwambie akupeleke Udom au Udsm au kwingine ukasome Business Administration... mwenye kutaka kufahamu chuo aangalie hii prospectus kupitia Institute of Rural Development Planning hapo utaweza kujisomea nini chuo hiko kinafundisha.
Duh hapa sasa ni kutokuwa na ufahamu kuhusu utendaji kazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama. Ofisi hii kwa mujibu wa Sheria za nchi haihusiki na usimamizi wa kura wala masuala ya uchaguzi moja kwa moja zaidi ya kusimamia shughuli za Vyama kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Sheria za nchi wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.