Bajaji inauzwa bei sawa na bure ni kampuni ya Sinoray.
Capacity cc200
Seats 8
Usajiri ni DSG
full document
Ni kununua na kuingia barabarani haina changamoto yoyote
Bei ni Milioni 3,200,000 haipungui
Pia naitoa kwa mkataba kama wewe ni dereva una leseni na una mdhamini.
Mawasiliano 0758161628...
Hii ilinikuta mm niliingia kichwa kichwa nikajenga vyumba vya kupangisha kwa zaidi ya M 40 kuja kupiga hesabu ya kurudisha hiyo pesa nikaona kuwa itanichukua miaka 20 kuja kurudisha pesa yangu nikauza nikafanya mambo mengine.
Hivi mbona mtaani madem kibao na wakali, binafsi nashangaa sana mtu anayetafuta mpenzi mtandaoni hususani kwa sisi waafrica.
Kwanza mwanamke miaka 27 kuendelea mbona kama unanunua gazeti jioni.
Habari wanajukwa.
Leo acha niwasanue wasimamizi wa kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha nyegezi mkoani mwanza.
Huenda hawajui haya au wanajua ila wanafumbia macho
Kwanza wale wanaokatisha tiketi za kuingia ndani kituoni mara nyingi ukiwapa pesa kubwa wanakata shilingi 300 badala ya sh 200...
Hahaha haha nipo ndugu sijatoeka ghafla na wala siwezi kujizuru maana hizo dawa kuna mtu tumemkuta nazo ila akawa ana bisha kuwa sio za ukimwi ndo maana nikaja kuuliza hapa.
Hahaha haha nipo ndugu sijatoeka ghafla na wala siwezi kujizuru maana hizo dawa kuna mtu tumemkuta nazo ila akawa ana bisha kuwa sio za ukimwi ndo maana nikaja kuuliza hapa.
Habari zenu wana Jamiiforum bila kuwachosha naombeni ushauri juu ya hii bajaji.
Ni kampuni ya Sinoray J3 ina uwezo wa kubeba watu 8, cc 200. Inatumia rejeta nimeiona nikaipenda sana na bei yake ni M7.8 maana nimeona kama inafaa zaidi kulingana na idadi ya watu inaobeba.
Naombeni ushauri wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.