Kilimi
Member
- Jan 11, 2023
- 77
- 108
Ninaumr wa miaka 34 ,ni muajiriwa NGOs Nina mtoto mmoja ,mrefu kiasi Sina gari,Sina nyumba nimepanga naish dsm
Kama unajua unataka kuolewa na unaumri 27 yrs nicheki, ila uwe na vigezo hivi;
1. Mkristo
2. Uwe tayari kuolewa sio unakuja kwangu kujua
3. Mvumilivu
4. Uwe tayari kuanza nilipo chini au juu vyovyote
5. Uwe msafi
6. Elimu yoyote
7. Uwe na uzoefu wa mahusiano yasio pungua 2 yrs
8. Uwe single
Kama unajua unataka kuolewa na unaumri 27 yrs nicheki, ila uwe na vigezo hivi;
1. Mkristo
2. Uwe tayari kuolewa sio unakuja kwangu kujua
3. Mvumilivu
4. Uwe tayari kuanza nilipo chini au juu vyovyote
5. Uwe msafi
6. Elimu yoyote
7. Uwe na uzoefu wa mahusiano yasio pungua 2 yrs
8. Uwe single