Shida yako mtoa mada unaonekana hupendi kutafuta ela bali unataka kutafutiwa,nakweleza wazi wamarangu ni wasomi na wanawake si lelemama,hatujajibweteka,tafuta ela ikuzowee ndo kauli mbiu yetu
Mpe mtoto haki yake ya msingi,na ndo mana uliamua kuishi nae ukiwa kama baba mlezi,kama sivyo ungemwambia amtafute baba wa mtoto tangu awali.je ingekua ni wakwako ungeongea haya ya kutaka kumnyanyapaa mtoto? Mgogoro wako na mkeo suluisheni na si kumchanganya mtoto.mnaonekana nyie ni wababe...
Hilo si suluisho la tatizo,unaweza kuoa ambaye ajazaa ikawa mapichapicha zaidi.la maana kueshimiana,kupendana na mtu kujua taratibu zake akiwa kama mama wa familia.inaonyesha huyo mkeo akufundwa namna ya kuishi na mume au ni dharau ya kubadilika ukubwani,aache ujinga anataka nani akupigie pasi...
Je huyo ni mkeo kweli unayempenda? Acha ujinga,je wewe ujambagi? Unataka avimbiwe kwa kukyogopa wewe? Na je unataka ajiachie kwa nani sasa? Mbona haukui? Hii si sehem ya kumshushia mkeo heshima,ungejiposti wewe mwenyewe,inaonekana haumpendi uyo mwanamke,mbona ni marashi kama uyatoayo wewe? Na...
Ingawaje nao bodaboda wakati mwingine wanakua na makosa,ila hawa traffiki wamezidi na si kwenye bodaboda tu,hadi kwenye daladala,mali yako lakini unakuta unawafanyia kazi wao,pesa yote wanakukomba barabarani,ukugoma kutoa rushwa wanakubambikia makosa,wajirekebishe jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.