Mabint wa kimarangu

Mabint wa kimarangu

koma!!!! me ni mmarangu na wanaume nilikuwa nao wote mbona hawafikisika ukomeeee umeokota kinega chako huko unajumuisha wote loh!
wewe tafuta pesa acha kulalama mapenzi na njaaa aipo hiyo heshima pesa wewe,... vingine vyote mbwembwe......
 
Shida yako mtoa mada unaonekana hupendi kutafuta ela bali unataka kutafutiwa,nakweleza wazi wamarangu ni wasomi na wanawake si lelemama,hatujajibweteka,tafuta ela ikuzowee ndo kauli mbiu yetu
 
Hahaha!!chief chakarika au na wwe hupendi hela basi kaa bla kufnya kitu,wanapnda hela because it's easy to cry in a BMW than on a bicycle lol!!
 
hakuna kitu kama icho wajameni maaana naona munawahukumu bure wasiohusika amekosa mmoja ndo muwaseme mkoa mzima mmmmmh we mtoa mada ujitambui mimi wakwangu apendi pesa kama unavosema ila anapenda nitafute kwa ajili ya kwangu na yake yaaani ipo ivi pesa kwaa wanaume ni lazima tutafute kwa njia yeyote ile ispokuwa ku.......flw
\
Mkuu usiumeume maneno! huko ndo kupenda pesa kwenyewe! Si dhambi kupenda pesa! Lazima kupambana kuinua uchumi!
 
Kama umekutana na mmarangu wa hivyo usijumuishe wote babu eee,ila mtt wa kiume fanya kazi,tafuta hela,acha kupiga mayowe!
 
Shida yako mtoa mada unaonekana hupendi kutafuta ela bali unataka kutafutiwa,nakweleza wazi wamarangu ni wasomi na wanawake si lelemama,hatujajibweteka,tafuta ela ikuzowee ndo kauli mbiu yetu

nakukaribisha uje ujioneo mwenyewe tatzo c maisha mazuri tatzo wanalike money kupitiliza
 
koma!!!! me ni mmarangu na wanaume nilikuwa nao wote mbona hawafikisika ukomeeee umeokota kinega chako huko unajumuisha wote loh!
wewe tafuta pesa acha kulalama mapenzi na njaaa aipo hiyo heshima pesa wewe,... vingine vyote mbwembwe......

Ni hasira kali ama??
 
swali kama hakuna kwann wanawake wa nchi za wenzetu wa namapesa ila wanaolewa kwa mda 2 awadumu katka ndoa zao

Nchi za wenzetu zipi hizo? Nadhani uelewa wako mdogo.
 
koma!!!! me ni mmarangu na wanaume nilikuwa nao wote mbona hawafikisika ukomeeee umeokota kinega chako huko unajumuisha wote loh!
wewe tafuta pesa acha kulalama mapenzi na njaaa aipo hiyo heshima pesa wewe,... vingine vyote mbwembwe......

Haika Mae...Umenikuna
 
Ni hasira kali ama??

yani kanichefua haiwezekani kutusema vibay.... yeye mvivu wa kutafuta hela analeta mada yake chafu humu aende kwa makabila amabo wanaendekeza mapenzi na si maendeleo ndo yanayomfaa...... mapenzi na njaa haipo hiyo kitu
 
Back
Top Bottom