Nenda zako umepitwa na wakati Mzeee
Nenda zako una macho lakini aushibi Mzee
Nenda zako una kula lkn Auwezi kufikiri Mzee
BILA MUNGU MUUMBA WA NCHI NI KUPOTEZA MUDA SIO MWANADAMU AMBAYE KESHO YAKE HATUIJUIIII
UKAWA wanaweza wakampa tu maana ataongoza kwa misingi na itikadi za chadema na cio tena ccm so wanaweza wakampa namba kama ktk kikosi chao kuna chance .
haaaaa jaman alipokuwa anakutumia c alikulipa kwa ulichofanya so mlitaka awagande hao watu kwani yey kupe nakufanyia kazi unanipa changu nasepa . life goes on
Maadamu Mungu wetu ni mwingi wa Rehema na usikia maombi ya wenye haki hasa wakiomba kwa bidii vivyo basi atatupa mtu ambaye ni kusudi lake...... lakini yoyote mwenye nia ya kuiagawa nchi yetu kwa misingi ya kidini na kikabila hataiongoza nchi hiiiiiiii.
mmmm kumbe na wew umeziona Diploma mwaka mmoja duuuuuu:redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces: Izo ni certificate cio diploma uyo alioandika kaamua kurefusha izo shule ili Cv ikue
Kanisa ni sehm ya kuabudia na watu wanakutanika pale kwa lengo la kumwomba aliyewaumba
Chama cha siasa ni sehemu watu wanapokutanika kujadili maslahi ya watu na jinsi ya kuwaongoza
Ivi sisi watoto wa juzi tunataka kumiliki mali sawa na wazee wetu hiii ni sawa ci SAWA na kamwe haiwez kuwa sawa kingine zamani fursa zilikuwa nyingi tofaut na sasa zaman kuweza ilikuwa ni rahisi tofaut na sasa wasomi walikuwa wachache na science na technology ilikuwa bado sio sasa dunia imekua...
Inasikitisha kwamba mtu ambaye ameweza kuongoza nchi na kuwa kiongozi tangu mm cjazaliwa awe amiliki chochote Hongera LOWASA maana wew c kama wengine wakipata pesa wanataka kujilimbikizia wanawake kama wengine wanavyofanya na kutaka kumiliki wake za watu wawe wao na kutembea na watoto wa watoto...
mmmm kiukweli Bunge limepoa twende mbele turud nyuma Zito mtamkumbuka japo is too late kaza buti kakaa maaana kwasasa anafaham weakness of those two sides
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.