kwi kwi kwi teh teh teh
Nabii mimi nakupinga,mimi nakuambia waziri mkuu ajaye ni Dr.Asha Rose Migiro.hutaki unaacha.
Mkuu swala lako laweza kuwa la kweli . Mzee John Pombe Magufuri lazima Aibebe familia ya Mafisadi pamoja na familia ya Kikwete
Membe atakuwa vp Waziri mkuu keshasema hatogombea ubunge jimboni kwake?
Mkuu umesahau madaraka ya raisi anazo nafasi zake 10 za kuteua Wabunge ?Inawezekana kabisa.
mkuu,waziri mkuu lazima awe mbunge wa jimbo.si wa kuteuliwa
Ndio maana tunataka mabadiliko.Tanzania inao MANABII wengi wa UONGO waliosemwa na Bwana Yesu Kristo.
Wapo manabii wengi wa uongo waliotabiri kwamba LAZIMA Lowassa atakuwa Rais wa JMT.
Tena wengine wakaenda mbali kwa kujiapiza kwamba kama Lowassa asipokuwa Rais wa JMT basi tuwatafute popote pale walipo tuwauwe.
Mimi nikajiuliza kama wanaamini UNABII wao, kwanini watupe taabu yote ya kuwatafuta ili tuwauwe, kwanini WASIJIUE wenyewe kuturahisishia kazi?
Halafu pia wanatuweka kwenye mtego wa kutenda jinai, kwani kwa mjibu wa sheria za JMT KUUA MTU kwasababu yeyote ile ni kosa la JINAI.
Mtabiri wetu wa mgombea mwenza! Lakini pia Magufuri alipokuwa anamtaja makamu alisema kuwa kashauriana na JK, amkeni Watanzania miezi mitatu kuanzia sasa inatosha kuueleza ukweli huu!Makonda mfuta viatu wa familia ya jk
Kiswahili chetu jamani!"iwapo serikali ya familia ya kikwete tanzania itapita"..
ujaona huu msatari au ndo unatumia kitu chengine kufikiri...
Ina maana Hawa jamaa walim-delete Lowasa siku nyingiiiii. Angalia vijana wadogo akina makonda walikuwa wanajuwa kinachoendelea ndani ya TISS lakini EL hajui? Walimtoa nje ya system zamani mzee wa watu! Hapa inabidi Mamvi awe mpole akikumbushwa haya mambo na akihama chama anaweza kufanywa kitu mbaya.............gazeti la mtanzania mwezi wa kwanza lili sema magufuli ndo raisi,na paul makonda kwenye bunge la katiba alisema samia hassani ndo atakuwa makamu rais,.........................
asante..
team jamiiforum
Siyo kwamba naunga mkono hoja hii ila nafafanua tuu. Uwezekano wa kuwa PM upo hata kama hatagombea ubunge, rais ana mamlaka kikatiba kuteuwa wabunge kumi kama alivyofanya kwa Muhongo akawa waziri, Migiro akawa waziri nk nk.Membe atakuwa vp Waziri mkuu keshasema hatogombea ubunge jimboni kwake?
kwi kwi kwi teh teh teh
Mimi bwana sitaki kuitwa nabii kwa hili kwa sababu nadhani kutokana na uongozi wa kifamilia,na tunaowaita wazee wa ccm wakati wa kutuchagulia rais,ila wakati taifa lina ingia mikataba mibovu tuna sahau kuna watu wazima kwa sababu mafungu ya chai yanafika...Sasa kutokana na hila za wazee kumkata jaji,na jua fika na nasema fika Bernard membe,baba yake mdogo na ridhiwani na mdogo wake j.kikwete ndie waziri mkuu anae fata....gazeti la mtanzania mwezi wa kwanza lili sema magufuli ndo raisi,na paul makonda kwenye bunge la katiba alisema samia hassani ndo atakuwa makamu rais,na mimi na sema benard membe waziri mkuu iwapo serikali ya familia ya kikwete tanzania itapita..
asante..
team jamiiforum
Siyo kwamba naunga mkono hoja hii ila nafafanua tuu. Uwezekano wa kuwa PM upo hata kama hatagombea ubunge, rais ana mamlaka kikatiba kuteuwa wabunge kumi kama alivyofanya kwa Muhongo akawa waziri, Migiro akawa waziri nk nk.